Taja avatar inayokusisimua hapa na uielezee

Ahhaha mi katoto ee
Wala hujawa katoto jamani si unajua ninavyokuusudu [emoji7][emoji7][emoji7], naanzia wapi kukupoteza kwa uongo [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787], mwanamke mapishi banah, sema siku hizi unanikwaza hunipikii nakula vya mgahawani,
 
Haha, mimi sio mfujaji ujue, ningekula kidogo tu
Nakupendea hapo tu my queen [emoji146] The Happiness , una nidhamu sana na pesa tutaishi maisha marefu sana maana fedha haijwahi kututenganisha [emoji3590][emoji3590][emoji3590][emoji3590][emoji485], tumalize ujenzi madale tukaishi kama king [emoji146] and queen [emoji146]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…