Chaliifrancisco
JF-Expert Member
- Jan 17, 2015
- 26,021
- 79,710
Sakayo umemfichia wapi we jamaaHuwa sivutiwi na avatar. Navutiwa na maneno anayoandika mtu, yanaakisi ni mtu wa aina gani.
😳😳😳😳 duh mimi huyu huyu mkuu au umechanganya mafolder.
Itakua nimechanganya😳😳😳😳 duh mimi huyu huyu mkuu au umechanganya mafolder.
Ahaaa kumbeee sijui nimchane laivu tu..😅😅Hahahaha, hapana ,nilitaka kumjua mshindi na avatar tajwa ,hilo tu Rafiki kipenzi
Ginger ale baridi sana😅Hajaweka avatar but i love all of him.
Hivi rafiki yangu kumbe sijakutaja eeHahahaha, Mkuu kuwa mpole km sisi wengine tu
Haya ni nani anayekuvutia na maneno anayoyaandika mkuuHuwa sivutiwi na avatar. Navutiwa na maneno anayoandika mtu, yanaakisi ni mtu wa aina gani.
Ni black American, yule mwenye tumasikio nimemsahau jina lake lakin picha yake ipo kichwani mwangu yan[emoji16][emoji16][emoji16]Siwezi mtaja lakini kaweka avatar ya muigizaji wa kiume(mmarekani)movie zake huwa ninazipenda sana.atakaepatia ni nani zawadi nono nitatoa[emoji41]
Huyo wako ni French man [emoji2][emoji2]Mtaje please labda ni mimi
Mimi Hapa!Siwezi mtaja lakini kaweka avatar ya muigizaji wa kiume(mmarekani)movie zake huwa ninazipenda sana.atakaepatia ni nani zawadi nono nitatoa[emoji41]
Awe mpole tu [emoji3] [emoji3] [emoji3]Hahahaha, Mkuu kuwa mpole km sisi wengine tu
Mkuu, UshimenTigo, Voda, Airtel ama Halotel...??
Haha itabidi tukualike siku uje kuzipigaGinger ale baridi sana😅
DepalHaha itabidi tukualike siku uje kuzipiga
Weeeeeeeeeeeee acha banahHii Avatar huwa naipenda sana hasa huo mtuno wa lipsi unasadifu kuwa yaliyomo yamo/yanaweza kuwemo[emoji1]View attachment 1631561
Hahaha.... Iceberg9 niache nini tena mkuu?