Kuna mmoja siwezi mtaja, kaweka avatar ya ajabu yaani haina mvuto walaqhi, ila vile I am crushing on him huwa najikuta na fall in love na ile avatar yake kila nikiiona..!! π
Una mruhusu?Rowin njoo huku unaitwa, kuna kijana anataka kutoa mahari
Nimeacha kabisa[emoji1540][emoji1540][emoji1540]Kuna hii apa wacha kabisa [emoji116][emoji116]View attachment 1633138
Umeacha nn mrembo?Nimeacha kabisa[emoji1540][emoji1540][emoji1540]
Hapana aiseeh, simruhusu kijana kafanya shortcut tu, yani kaweka picha tu anataka kuchukua mke[emoji1787][emoji1787][emoji1787]Una mruhusu?
Mwambie una mume mbona unamuonea huruma [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Nimeacha kabisa[emoji1540][emoji1540][emoji1540]
Ni kweli na katika hili la maneno sijaona narudia sijaona wa kumfananisha na Heaven Sent
hii ni kwa uono wangu,ni moja ya mtu unaeweza enda pm ukaomba akushauri kitu maana unajua
chochote atakachokwambia kitakua kimethibitishwa na TBS,napenda kila comment yake huyu mtu.
ID yake na anayo yaandika havipishani,bibi wewe Mungu akubariki huko uliko,napataga vitu sana kupitia comment zako.
π€£Khantwe bana daa huyu mdada bana sijui ntampataje aje acheke tuu
Itakuwa ya kwanguKuna vijana wawili nashindwa kuchagua mmoja ila avi zao zinanikosha sana.
Siwezi na sitaweza kuwataja.
Mume wetu akipita hapa...atamwambia...[emoji854][emoji6]Mwambie una mume mbona unamuonea huruma [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Ulichosema wacha kabisa....pale juu.Umeacha nn mrembo?
Kumbe hapa watu wanatafuta wake?Hapana aiseeh, simruhusu kijana kafanya shortcut tu, yani kaweka picha tu anataka kuchukua mke[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Uzima upo[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Ulichosema wacha kabisa....pale juu.
Mzima lakini?
Nashukuru kusikia hivyo.Uzima upo[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Sasa nitubu nini brother huku mimi nabadilisha Avatar kila muda hata Sasa nimebadili[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]We mtoto wewe tubu dhambi zako
Dah raha Sanaa[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Nashukuru kusikia hivyo.