Saint Anne
JF-Expert Member
- Aug 19, 2018
- 76,039
- 230,142
Mimi nina Avatar nyingi mno.
We ni gru au drusasa tutafanyaje babe
GrucyWe ni gru au dru
Hii ni hasara ninayoipata kama taifa, kudate bae siaiei..! 😂Tushamjua 😎
Thank you....!
Mkuu wewe Ni KE au ME?Mtaje please labda ni mimi
Avatar ni nini kwani mkuuWengi humu hatujuani lakini tunafanya imagination tu kwamba mtu fulani atakuwa wa ivi sana sana imagination inakujia kutokana na majina wanayotumia watu, avatar na michango ya mhusika.
Leo tuangalie avatar na michango ambayo inachukua nafasi katika kuwakilisha muonekano wako.
Taja jina moja unalovutiwa na avatar yake na vijimaelezo kidogo vya kusindikiza..
Mimi naanza na huyu manzi wakuitwa PAULA PAUL aisee mi nikionaga avatar yake tu basi mie hoi aisee mwili na viungo vinakosa ushirikiano..na inaonekana hata alivyo toto moja zuri sana mtepetepe fulani ivi halafu wakishua..kasoro yake moja tu inaonesha mtu wa maringo sana na viingereza vingi kama vyakina wema sepetu
View attachment 1629935
Ni hiyo picha unayotumia kwenye ID yako.Avatar ni nini kwani mkuu
Utatajaje Avatar ya mtu bila kumtaja mtu?Ni hiyo picha unayotumia kwenye ID yako.
Roger thatNi hiyo picha unayotumia kwenye ID yako.
Boss,njoo Pm tuzungumze hii issue,nimejaribu kukupm ila inashindikana
nakutafutaNishapatikana....njoo unidanganye basi.
Usiniambie alikuwa na lijisambwanda...nyie Haya Hayako fea kabisa..Unamkumbuka Cheusi Mangala? Avatar yake ilikuwa ni utata MTUPU!!! Na siku aliyoibadili ilizua kasheshe humu na ME wengi kutaka irudishwe haraka iwezekanavyo. Ilikuwa ni ya mdada hivi mwenye makalio makubwa ya kuvutia ule uzi nakumbuka ulikuwa mrefu.