Taja avatar inayokusisimua hapa na uielezee

Taja avatar inayokusisimua hapa na uielezee

Wengi humu hatujuani lakini tunafanya imagination tu kwamba mtu fulani atakuwa wa ivi sana sana imagination inakujia kutokana na majina wanayotumia watu, avatar na michango ya mhusika.

Leo tuangalie avatar na michango ambayo inachukua nafasi katika kuwakilisha muonekano wako.

Taja jina moja unalovutiwa na avatar yake na vijimaelezo kidogo vya kusindikiza..
Mimi naanza na huyu manzi wakuitwa PAULA PAUL aisee mi nikionaga avatar yake tu basi mie hoi aisee mwili na viungo vinakosa ushirikiano..na inaonekana hata alivyo toto moja zuri sana mtepetepe fulani ivi halafu wakishua..kasoro yake moja tu inaonesha mtu wa maringo sana na viingereza vingi kama vyakina wema sepetu

View attachment 1629935
Avatar ni nini kwani mkuu
 
Unamkumbuka Cheusi Mangala? Avatar yake ilikuwa ni utata MTUPU!!! Na siku aliyoibadili ilizua kasheshe humu na ME wengi kutaka irudishwe haraka iwezekanavyo. Ilikuwa ni ya mdada hivi mwenye makalio makubwa ya kuvutia ule uzi nakumbuka ulikuwa mrefu.
 
Unamkumbuka Cheusi Mangala? Avatar yake ilikuwa ni utata MTUPU!!! Na siku aliyoibadili ilizua kasheshe humu na ME wengi kutaka irudishwe haraka iwezekanavyo. Ilikuwa ni ya mdada hivi mwenye makalio makubwa ya kuvutia ule uzi nakumbuka ulikuwa mrefu.
Usiniambie alikuwa na lijisambwanda...nyie Haya Hayako fea kabisa..
Ehee ikawaje sasa..
 
  • Nzuri
Reactions: BAK
Back
Top Bottom