Taja avatar inayokusisimua hapa na uielezee

Nina hamu nikapige pacha 3 kapate kuinjoy maternity
Kwani we basta unajikuta nani labda πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…
 
Hahahah kwahio mi balaa zito...Waswahili wanasema Shauliloo!!!
Utapiga teke furushi la mahaba acha uzembe.πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
Hata sisi tunapenda kubembelezwa na sauti ya kiume iliyotulia joo..

Hiyo sauti yako endelea kuitumia kwenye 🎀 sawa babalaiπŸ˜…πŸ˜…
 
Mie ni mshereheshaji tu wa tafrija ya mahaba πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Hata sisi tunapenda kubembelezwa na sauti ya kiume iliyotulia joo..

Hiyo sauti yako endelea kuitumia kwenye 🎀 sawa babalaiπŸ˜…πŸ˜…
Kwenye sauti tu hapo sihitaji kuongelea maana unaweza kujikuta coaster umeipanda wewe badala yangu.
 
Mie ni mshereheshaji tu wa tafrija ya mahaba πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…kama utakuwa unaipunguzaga mheshimiwa mshehereshaji hapo sawa..ila kama hupunguzi volume πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…kaka baadae sana..bora uendelee na yo-yo-yo-yo.....Hallelujah
 
πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…kama utakuwa unaipunguzaga mheshimiwa mshehereshaji hapo sawa..ila kama hupunguzi volume πŸ˜…πŸ˜…πŸ˜…kaka baadae sana..bora uendelee na yo-yo-yo-yo.....Hallelujah
Kwahio nipunguze volume sio. Haya masharti sasa duh πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…