Taja avatar inayokusisimua hapa na uielezee

Taja avatar inayokusisimua hapa na uielezee

Kwahii kauli mwamba ni yeyeee!
Anajaribu kunitoa kwenye reli lakini Psychology inakataa! [emoji38][emoji38][emoji38][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji377][emoji377][emoji377][emoji2445][emoji2445][emoji2445]
 
Hahaha kumbe, tafta ile movie yake ya I'm in love with church girl hutojutia...Au nije nikuletee baadae.

Mie nazikubali hizo lips kinoma. Ungeniruhusu nije kuvinjari nazo leo jioni ningepanda coaster chap nisogee hapo ulipo. Maana umbali tuliopishana toka kwako na nilipo ni buku 3 tu.😍
Movie inaitwa I’m in wat!!😅😅😅😅punguza kufoka foka basi na wew tuanze kukufikiria.

😅😅😅😅chizi sana wewe ujueee ..kutoka hapo ulipo na mimi nilipo..nauli
Kilimanjaro 35000
BM-36000.
 
Anajaribu kunitoa kwenye reli lakini Psychology inakataa! [emoji38][emoji38][emoji38][emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji377][emoji377][emoji377][emoji2445][emoji2445][emoji2445]
Loh hadi wewe mkuu..unauhakika gani.acha hizo mambo joo..kweli sio yeye
 
😳😳😳hapana wapendwa msifike mbali kote huko.sio yeye Kwanini mnanilazimisha?sijisikii vizuri
Tabia zenu watoto wa kike akimpenda mtu anajifanya anamkandia. Mara oh sio yeye ila moyoni kanaumia. Saikolojia ya mtoto wa kike ni nyepesi sana kama ukibahatika kuishi nao vizuri.

Kuna mwanangu ana duka la nguo. Yeye huwa ananiambia hawa wadada saikolojia yao iko very simple. Anachukua nguo 3 anampa ajaribishe...ile atakayoonesha kuikataa mapema basi jua ndio atainunua na kuipenda kuliko zote.

Natulia nacheki movie na kweli inakuwa vile vile. Women are very complicated kwa mtu anaetanguliza logic katika reasoning.
 
Movie inaitwa I’m in wat!!😅😅😅😅punguza kufoka foka basi na wew tuanze kukufikiria.

😅😅😅😅chizi sana wewe ujueee ..kutoka hapo ulipo na mimi nilipo..nauli
Kilimanjaro 35000
BM-36000.
Hahahah sahizi nimesogea karibu na huduma si unajua mwezi wa mwisho ndio huu aki tena nilipo ni buku 3 tu.😂😂😂😂😂 Penye mnara wa Mwanajeshi hapa.(Maji ni uhai)
 
Hahahah sahizi nimesogea karibu na huduma aki tena nilipo ni buku 3 tu.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Penye mnara wa Mwanajeshi hapa.(Maji ni uhai)
Hivi hujatajwa tu na Chakorii kitoto kinakuzimikia hicho mpaka huwa kunafananisha watu na wewe[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Tabia zenu watoto wa kike akimpenda mtu anajifanya anamkandia. Mara oh sio yeye ila moyoni kanaumia. Saikolojia ya mtoto wa kike ni nyepesi sana kama ukibahatika kuishi nao vizuri.

Kuna mwanangu ana duka la nguo. Yeye huwa ananiambia hawa wadada saikolojia yao iko very simple. Anachukua nguo 3 anampa ajaribishe...ile atakayoonesha kuikataa mapema basi jua ndio atainunua na kuipenda kuliko zote.

Natulia nacheki movie na kweli inakuwa vile vile. Women are very complicated kwa mtu anaetanguliza logic katika reasoning.
Unaona sasa umeanza kufoka we mtu...unaona lakini!!

Inawezekana ni kweli wanawake tuko hivyo lkni isiwe % zote.

Kwani ningekubali nani angeniadhibu?jibu ni hakuna.haya basi tukate mzizi wa fitna,sio yeye.tuendelee na mpambano mjinyakulie zawadi nono.

We basta akili yako ni mbovu sana ujue😅😅😅
 
Unaona sasa umeanza kufoka we mtu...unaona lakini!!

Inawezekana ni kweli wanawake tuko hivyo lkni isiwe % zote.

Kwani ningekubali nani angeniadhibu?jibu ni hakuna.haya basi tukate mzizi wa fitna,sio yeye.tuendelee na mpambano mjinyakulie zawadi nono.

We basta akili yako ni mbovu sana ujue😅😅😅
Aya sikufokei tena...Ukuje kwa Private nina jambo langu nataka nikwambie ila siri yako 😂😂😂
 
Back
Top Bottom