Extrovert
JF-Expert Member
- Feb 29, 2016
- 70,785
- 186,690
Tutayamaliza kwa amani tu...Ngoja nimtafute braza MshanaJrMwandiko wa matumaini.sema Amen 😅
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tutayamaliza kwa amani tu...Ngoja nimtafute braza MshanaJrMwandiko wa matumaini.sema Amen 😅
Nikiamua kukuroga nakutia kwenye chupa yachai nakufunga nakutupia Baharini huko ukaokotwe Pakistan hukoUnanroga roga ujue we chautamu🤯😵🤒
Kwani wewe unamuona siku hizi😅😅Tutayamaliza kwa amani tu...Ngoja nimtafute braza MshanaJr
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]lakini Jael ujuwe kupenda ni kitendo kitakatifu eeh!Nakupenda wewe sio yeye.
Uwiii...tusifikie uko maana la kunsahaulisha kwa wazazi ni kipengele😝😝😝Nikiamua kukuroga nakutia kwenye chupa yachai nakufunga nakutupia Baharini huko ukaokotwe Pakistan huko
Kiduku😝Naona wenye avatar nzuri na zakuvutia wanafarijiana sie lukuluku tusomeni comments tu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Bila kupepesa macho utakuwa ni wewe au unaonaje[emoji28][emoji28][emoji28]
Wenye avatar za kikauzu hawawezi kupendwa...Naona wenye avatar nzuri na zakuvutia wanafarijiana sie lukuluku tusomeni comments tu
[emoji23][emoji23][emoji23]Duuuuh yaan nmepitia komenti zote
Sijatajwa na Ke yoyote
Ila wanawake wanajua kupishana na Maisha.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
ngoja tufarijiane mkuu Carlos The Jackal 😀 😀Duuuuh yaan nmepitia komenti zote
Sijatajwa na Ke yoyote
Ila wanawake wanajua kupishana na Maisha.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Anza siku yako na Makopa Baba Mjengo[emoji7][emoji7][emoji8][emoji8]
[emoji1787]Yaan zote hizi zinakusisimuaa [emoji2303][emoji2303][emoji2303] Si unasisimka mno jamani [emoji23][emoji23][emoji23]
Nilitaka nikutaje😡 nabadili avatar aisee sijatajwa😀
Ntabadili avatar sasaTatizo ni kwamba hatupendi nyakati za majonzi...hiyo ndo shida
Yule chizi wa Cheltako!?The Boss huyo bila shaka