Joanah
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 22,527
- 79,976
Ooh 😍😍Naacha je kukupenda mremboo?
Hapo nakupenda wew na vyote vikuzungukavyo ikiwemo avatar[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ooh 😍😍Naacha je kukupenda mremboo?
Hapo nakupenda wew na vyote vikuzungukavyo ikiwemo avatar[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Avatar ya Joanah inanisisimia, huwa na mfananisha na mama yenu mdogoWengi humu hatujuani lakini tunafanya imagination tu kwamba mtu fulani atakuwa wa ivi sana sana imagination inakujia kutokana na majina wanayotumia watu, avatar na michango ya mhusika.
Leo tuangalie avatar na michango ambayo inachukua nafasi katika kuwakilisha muonekano wako.
Taja jina moja unalovutiwa na avatar yake na vijimaelezo kidogo vya kusindikiza..
Mimi naanza na huyu manzi wakuitwa PAULA PAUL aisee mi nikionaga avatar yake tu basi mie hoi aisee mwili na viungo vinakosa ushirikiano..na inaonekana hata alivyo toto moja zuri sana mtepetepe fulani ivi halafu wakishua..kasoro yake moja tu inaonesha mtu wa maringo sana na viingereza vingi kama vyakina wema sepetu
View attachment 1629935
EeeeeehKuna wadau wanasema ni mwanaume sasa kuwa makini
Yeye ndio awe makini sanKuna wadau wanasema ni mwanaume sasa kuwa makini
Jirani kama jirani [emoji8][emoji8][emoji8][emoji8][emoji8][emoji8]jirani yangu
[emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] Unakapeleka mbugani unaenda kukupigia mimba hukoNina hamu nikapige pacha 3 kapate kuinjoy maternity
[emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] KumbeMwambie anitilie hiyo mimba kwenye comment[emoji28][emoji28]
[emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] Acha wivu yako inazidi zote [emoji7][emoji7][emoji7]Yaan zote hizi zinakusisimuaa [emoji2303][emoji2303][emoji2303] Si unasisimka mno jamani [emoji23][emoji23][emoji23]
Ahhhh the queen [emoji146] The Happiness ningekuacha hapo kwenye list ungekula hela ya ujenzi yote sijui tungelala wapi,Anza siku yako na Makopa Baba Mjengo[emoji7][emoji7][emoji8][emoji8]
Mzee wa mgodini unataka uelewe nini [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Kuna kitu sija kielewa, ila nitarudi mda si mrefu.
[emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] Yani hata mwenye hujui kama kuna secret admire endelea kukosa bahati[emoji848][emoji848][emoji848]
Ice bwana[emoji28][emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] Yani hata mwenye hujui kama kuna secret admire endelea kukosa bahati
Naipenda avatar yakoAbeee
Wanasema kuruka ruka kwa maharage ndio kuiva kwake.[emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] Unakapeleka mbugani unaenda kukupigia mimba huko