T14 Armata
JF-Expert Member
- Mar 7, 2017
- 12,362
- 41,886
šš Huwa nakiangalia je kinakidhi standard za KIBAMIA?..ilibaki kidoogo nikipeleke TBS Yaniš¤£š¤£Hua unajiangaliaga kuhakikisha kama kweli kipošššš
Hahaahaa Dah, Kuna wale vichaa wa "subiri wanakuja""TAFUTA HELA WEWE"
Unakuta kaamtu kanakoandika hivi kamekakamaa na njaa kapo tu kijiweni kanapiga stori kuwa bandari imeuzwa.
Au unakuta ni jobless miaka mitano anaishi kwa ndugu, halafu unakuta ndugu alikaambia kajishughulishe na hata vibarua ila kanakataaa.
Cha kushangaza kuna mtu ataaandika "tafuta hela wewe" kwenye comments hahaha
Taja nyingine unazozijua.
Hahahššš...wewe jamaa hapana kwakweli š¤£š¤£š¤£ššš Huwa nakiangalia je kinakidhi standard za KIBAMIA?..ilibaki kidoogo nikipeleke TBS Yaniš¤£š¤£
Kuna uzi mahali sasahivi nlitaka kucomment hivyo nimeghairiššHahaahaa Dah, Kuna wale vichaa wa "subiri wanakuja"
CHAI. Siipendi sana.Hahahahhaahhahahahhahahahshshshshshshshshahhahahhahahah
Alafu unakuta wamekomaa kwl kwli wanataka picha
Hapo ujue mtu anaenda kuombwa uthibitisho ambao hata akikaa na ukoo wake wote hawawezi kuthibitisha.nakaziaš¤£