Taja JF member au members ambao una hamu kabla hujatangulia mbele za haki angalau uwe umewajua

Kasie, shunie, miss natafuta & miss chaga
 
Kuna member maarufu sanaaaa hasa kule jukwaa la siasa ni mshikaji wangu sana ila nimegundua juzi tu ID yake tena kwa bahati mbaya...[emoji23][emoji23][emoji23] unavyojenga picha tulivyo ni tofauti na uhalisia.
 
Ha ha ha haaaa.. Yaani mimi hua naimagine nyinyi ni watu flani hivi matajiri sana wanufaika wa mfumo..sometimes nikiona(ga) VX V8 linanipita kimoyomoyo najisisemea usikute huyo ndo MOTOCHINI mwenyewe.
Hahaha Utakuja kumchukia mtu bure na kigari chake ndugu
 
watu mna roho za kwa nini yani hamna hata mmoja mwenye hamu ya kutaka kumfahamu Chinga One..? shubamiti..
 
Miss natafuta
Sky elcat
Faiza fox
Miss chaga
Shunie
Jovitha
Mkuu Mimi hapo kati ya hao uliowataja mmoja wao tunafahamiana through JF as a means of knowing each other. Asante mkuu ...uliyepo kwa orodha tajwa.
 
Mie wengi nimeonana nao

So sina mzuka tena
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…