Sanyambila
JF-Expert Member
- Jan 24, 2018
- 378
- 510
Habari za kazi waungwana!!!
Huu ni mwaka wa uchaguzi mwaka huu unaweza ukawa neema pia kwa wasanii wetu mfano
1. Diamond WCB anaweza? Jimbo gani
2.Harmonize Konde boy jimbo gani?
3.Ally s. Kiba king of music jimbo gani
4. Ladyjaydee ndani jimbo gani?
5.N.K taja
Milango ikifunguliwa tu tutasikia mengi.Je wana nafasi katika jamii???
Huu ni mwaka wa uchaguzi mwaka huu unaweza ukawa neema pia kwa wasanii wetu mfano
1. Diamond WCB anaweza? Jimbo gani
2.Harmonize Konde boy jimbo gani?
3.Ally s. Kiba king of music jimbo gani
4. Ladyjaydee ndani jimbo gani?
5.N.K taja
Milango ikifunguliwa tu tutasikia mengi.Je wana nafasi katika jamii???