Sikuhz kajirekebisha ana mada za kistaarabu siku za nyuma aliboa sana watu tulimtolea uvivuKuna anaejiita "Genta....." asee huyu nilishampa ahadi
nikimuona mahali tu nikajua ni yeye,Atanipa maelezo yakutosha.
Kama kuna member anaitwa rakims namuogopa balaa ninhemtag ila naogopa yakunikutaKuna watu ukiwataja kesho utajikuta umelala juu ya bati ukiwa uchi na vyombo vya habari vitakuita weye mchawi na magazetini utatambaa na huko mitandaoni utajuta kuzaliwa!! Wkt nawewe hujui ulifikaje na tunguli kiunoni mwako ulivaaje na hirizi mkononi Kama saa inakuandama!! Hapo ndo utajua nini maana ya watu wenye tabia zisizo pendeza!😎
Haaahaaha[emoji1787][emoji1787]Kuna id inaitwa mkwepu jr hahaha huyu simchukii. Naikubali sana hii id inavyojiendesha yaani ikiingia kwenye uzi yenyewe ni kumwaga like tu na haulizi.
Mfano wewe utasema paka ni mnyama anakupa like, means anakubaliana na wewe, kisha akitokea mwingine akisema paka ni mmea na huyo pia anampa like, kwamba sasa hiv kakubali paka ni mmea, akija mwingine akiwatukana nyinyi kua mnaongea utumbo, atampa like na huyo pia.
Sasa akitokea mwingine akamcrush huyu kwa kutukana wenzake na kumwambia aache watu wawe free, na huyo pia atampa like.
Hii id chiboko.
Nimesoma comments zote hadi hapa..
Dahhh, afadhali sijatajwa
Dah...mbona yuko POA tu[emoji41]Chiquttita is boring
Kuna watu 'likes' hazina maana yoyote kwaoKuna id inaitwa mkwepu jr hahaha huyu simchukii. Naikubali sana hii id inavyojiendesha yaani ikiingia kwenye uzi yenyewe ni kumwaga like tu na haulizi.
Mfano wewe utasema paka ni mnyama anakupa like, means anakubaliana na wewe, kisha akitokea mwingine akisema paka ni mmea na huyo pia anampa like, kwamba sasa hiv kakubali paka ni mmea, akija mwingine akiwatukana nyinyi kua mnaongea utumbo, atampa like na huyo pia.
Sasa akitokea mwingine akamcrush huyu kwa kutukana wenzake na kumwambia aache watu wawe free, na huyo pia atampa like.
Hii id chiboko.
Naamini bado hajafundishwa mahali flani,kuna kitu mahali hakipo sawa kwakeSikuhz kajirekebisha ana mada za kistaarabu siku za nyuma aliboa sana watu tulimtolea uvivu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Akiii, unaweza kuta likes karibu 50, zote ni yeye