Taja jina la member ambaye tabia yake huipendi

Taja jina la member ambaye tabia yake huipendi

Kuna watu ukiwataja kesho utajikuta umelala juu ya bati ukiwa uchi na vyombo vya habari vitakuita weye mchawi na magazetini utatambaa na huko mitandaoni utajuta kuzaliwa!! Wkt nawewe hujui ulifikaje na tunguli kiunoni mwako ulivaaje na hirizi mkononi Kama saa inakuandama!! Hapo ndo utajua nini maana ya watu wenye tabia zisizo pendeza!😎
Kama kuna member anaitwa rakims namuogopa balaa ninhemtag ila naogopa yakunikuta
 
Kuna id inaitwa mkwepu jr hahaha huyu simchukii. Naikubali sana hii id inavyojiendesha yaani ikiingia kwenye uzi yenyewe ni kumwaga like tu na haulizi.

Mfano wewe utasema paka ni mnyama anakupa like, means anakubaliana na wewe, kisha akitokea mwingine akisema paka ni mmea na huyo pia anampa like, kwamba sasa hiv kakubali paka ni mmea, akija mwingine akiwatukana nyinyi kua mnaongea utumbo, atampa like na huyo pia.

Sasa akitokea mwingine akamcrush huyu kwa kutukana wenzake na kumwambia aache watu wawe free, na huyo pia atampa like.

Hii id chiboko.
Haaahaaha[emoji1787][emoji1787]
 
Kuna id inaitwa mkwepu jr hahaha huyu simchukii. Naikubali sana hii id inavyojiendesha yaani ikiingia kwenye uzi yenyewe ni kumwaga like tu na haulizi.

Mfano wewe utasema paka ni mnyama anakupa like, means anakubaliana na wewe, kisha akitokea mwingine akisema paka ni mmea na huyo pia anampa like, kwamba sasa hiv kakubali paka ni mmea, akija mwingine akiwatukana nyinyi kua mnaongea utumbo, atampa like na huyo pia.

Sasa akitokea mwingine akamcrush huyu kwa kutukana wenzake na kumwambia aache watu wawe free, na huyo pia atampa like.

Hii id chiboko.
Kuna watu 'likes' hazina maana yoyote kwao
 
Sikuhz kajirekebisha ana mada za kistaarabu siku za nyuma aliboa sana watu tulimtolea uvivu
Naamini bado hajafundishwa mahali flani,kuna kitu mahali hakipo sawa kwake

ana lugha flani za kujibu watu mbaya ambazo sizipendi,nadhani anaamini "kwa sababu hajulikani"

yes hajulikani,na ndio mana nimesema aombe aendelee hivyo hivyo kutokujulikana (nisimjue) ila

katika makosa atakuja yajutia ni pale nitakapomjua physically "nimeshamwahidi na lazima ahadi itimie"
 
Namchukia sana Rickboy kitendo cha kuanzisha uzi wa JE ULISHAWAHI KULA TUNDA KIMASIKHARA?
ule uzi unakula muda wangu sichezi mbali nao.....
Ni haki kabisa ule uzi kufikisha 1million view.
Huyu member JF impe huyu dogo zawadi hao view JF imeingiza mamilioni kutoka google.
 
Back
Top Bottom