Namba 26
JF-Expert Member
- Oct 15, 2018
- 309
- 918
Kuna wadau humu miyeyusho sana.
Taja tabia usizozipenda kutoka kwao hivyo wajirekebishe.
Kwangu hawa nawaona miyeyusho sana
1)Sexyles
Huyu anaboa mara anajifanya wa kike mara wa kiume haijulikani.
2)kiduku lilo
Jamaa ana fake sana maisha.
3)Kiranga
Anasema haaimini uwepo wa Mungu ila mada za Mungu zikianza kujadiliwa huyo anajileta kutafuta kiki.
Taja tabia usizozipenda kutoka kwao hivyo wajirekebishe.
Kwangu hawa nawaona miyeyusho sana
1)Sexyles
Huyu anaboa mara anajifanya wa kike mara wa kiume haijulikani.
2)kiduku lilo
Jamaa ana fake sana maisha.
3)Kiranga
Anasema haaimini uwepo wa Mungu ila mada za Mungu zikianza kujadiliwa huyo anajileta kutafuta kiki.