Taja jina la member ambaye tabia yake huipendi

Taja jina la member ambaye tabia yake huipendi

Unatafuta ukweli wa nini wakati majibu ya ukweli unayo?

Unajuaje kwamba majibu ya ukweli ninayo?

Na hata kama ninayo, vipi kama nina majibu ya ukweli, lakini sina maswali ya ukweli?

Na hata kama naona nina maswali na majibu ya ukweli, Socrates said, the unexamined life is not worth living.

Hata kama unaona ukweli unao, ni muhimu kujitahini kila mara kuhakikisha kwamba.

1. Huo uliouona ukweli jana, ni ukweli bado leo. Mambo yanabadilika, kuna vitu vilikuwa kweli jana, lakini leo si kweli.

2.Huo ulioufikiria ukweli jana, ni ukweli kweli, na si kughafilika kwako tu kulikokufanya ufikiri ni ukweli. Kuna mambo ambayo jana tulifikiri ni ukweli, lakini kadiri muda ulivyokwenda tukaona si ukweli.
 
Kuna id inaitwa mkwepu jr hahaha huyu simchukii. Naikubali sana hii id inavyojiendesha yaani ikiingia kwenye uzi yenyewe ni kumwaga like tu na haulizi.

Mfano wewe utasema paka ni mnyama anakupa like, means anakubaliana na wewe, kisha akitokea mwingine akisema paka ni mmea na huyo pia anampa like, kwamba sasa hiv kakubali paka ni mmea, akija mwingine akiwatukana nyinyi kua mnaongea utumbo, atampa like na huyo pia.

Sasa akitokea mwingine akamcrush huyu kwa kutukana wenzake na kumwambia aache watu wawe free, na huyo pia atampa like.

Hii id chiboko.
@mkwepu jr hahaha anaga time yee anamwaga sake likes anapita ivi ..

Mkwepu umetisha kinoma..[emoji41][emoji41]

Wale mbuzi Arsenal jana vipi mkuu ..wamepigwa tena???
 
Kuna wadau humu miyeyusho sana.
Taja tabia usizozipenda kutoka kwao hivyo wajirekebishe.

Kwangu hawa nawaona miyeyusho sana

1)Sexyles
Huyu anaboa mara anajifanya wa kike mara wa kiume haijulikani.

2)kiduku lilo
Jamaa ana fake sana maisha.

3)Kiranga
Anasema haaimini uwepo wa Mungu ila mada za Mungu zikianza kujadiliwa huyo anajileta kutafuta kiki.
Kuna njemba inaitwa
sadari
Nadhani wale wazee wa mjani mnatambua kazi za sadari ni kupushi Kate
Sasa chungeni vijana wenu wasikutane na sadari.
 
Wewe kutonipenda mimi ni haki yako ya kikatiba.

Wewe kujieleza kwamba hunioendi mimi ni uhuru wako wa kujieleza, haki ya kikatiba.

Natetea haki zako hizi.

Na pia, usiponioenda kwa sababu na mimi natimiza haki zangu za kikatiba za kujueleza, mimi nafurahi sana.

Kwa sababu sijawahi kupungukiwa na wanaonioenda, sitafuti kuoendwa kuoendwa kunanitafuta mimi.

Natafuta ukweli tu.

Na kama ukweli unakukata maini mpaka useme hunipendi, all the better for me.

Bahafi mbaya au nzuri mimi hata sikukumbuki wewe ni nani hapa JF. Siwezi kusema sikupendi, sikujui, sikukumbuki kabisa.

Jinsi ambavyo uko insignificant kwangu.
Sasa naanza kuamini mtoa Uzi alichokiandika
 
Back
Top Bottom