Taja Jina la Mtu Maarufu Tz ambaye hujawai kumuona kwa Macho yako [Live]

[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji3]
Duuuh!! Huu mkataba itabidi nikausome tena kwakweli, hakuna kipengele cha kuutengua?
mkataba kama kutahiriwa kwa mwanaume ni mara moja kisha haurudii tena
Mzuie bashite kushika simu yako. Atatugombanisha
relationship agreement page 65 paragraph 2
mwanauhusiano anatakiwa kukemea vikali majina ya hovyo hovyo anayoitwa partner wake pia kuonyesha hisia za kupinga kwa vitendo hata ngumi ili kupinga udhalilishaji na lugha ya kuudhi

espy itabidi uhusome mkataba tena
 
Balali
 
Sawa mpenzi!! Alafu hapo sikuona hivi wewe ndio alikuita bashite!!! We Daby ukome.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…