Taja jina la shule ya msingi uliyosoma enzi hizoo

Taja jina la shule ya msingi uliyosoma enzi hizoo

Daa mburahati primary school dar hyo L.Y 2000 nakukumbuka sana mwl.Ngombale
Ahsante kwa mboko tamu mpaka nkajua kusoma

Mpe anae kupa
 
shia pr School 1996-2002 namkumbuka mwalim Mlay, matee,RK, Matemba na Mero, Akaa yaan hatari tupu
 
Chemchem primary school ipo TPC unapita samanga, arusha chini.
Daah, nakumbuka nikiwa la 4 teacher alikuwa ananiamini mbaka akawa ananipa pindi la kufundisha Englis stands 3.

Bilashaka nipo mwenyewe humu jf, kwa watu wa kanda hiyo.

Fimbo za mwalimu Wiso, mwlim Claud, hazikuwahi kumuacha mtu salama.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mapinduzi primary-Mbeya huko zamani sana
La kwanza mpaka la 5 nilikuwa mwanafunzi mzuri wa kwenye 5 bora we kufika mbelembele huko si nikacharuka !! Ilikuwa full kufukuzana

Shule yetu mapinduziiiiii,
Ipo mkoani mbeyaaa,
Wilaya ya mbeyaaaa,
Kwenye kata mbalizi road.
Umenikumbusha mbali sana mkuu. Nilikuwa "nachapa mguu" kutoka soko matola- maghorofani mpaka meta kila siku.

Sent using Jamii Forums mobile app

Wakuu kumbe mmepiga Mapinduzi
Mi mwenyewe nimesoma pale chekechea hadi la saba (2000-2008) darasa la saba nimesumbua kipindi hicho Ticha mbig (Mwl Mwenisongole) ananitafuta kumbe nipo darasani nimejificha chini ya dawati. Kuna siku Mwl Shombe alitupiga stiki daaaah hatari sana
 
Nilihamishwa maendeleo kutokana na sababu za kitaaluma, ushindani ulikua ni mdogo. Mapinduzi ilisifika sana kwa kuwa bora kitaaluma, nilipata ushindani wa kutosha sana nikagundua kumbe maendeleo nilikuwa nawaongozea "vilaza".

Sent using Jamii Forums mobile app
Nimefundishwa field itiji ila maendeleo nilikuwa naenda kuwacheck jamaa zangu shule ina wanafunzi wachache na ni shule ambayo ipo ipo tu. Mzazi wako alitumia busara kukuhamisha
 
kwa nn hukupiga Sango primary!!! mm nilikuwa naishi Sango ila nilisoma shia primary

Mzee alikuwa muajiria KAHAWA HAUSE PALE....................... HENCE ALIONA UJIKO KUNIPELEKA MAWENZI.

ANYWAY, NAFURAHI LEO NILISOMA TOWN.

WAHINDI KINA DARUMESH............. TUMEPIGA NAO NA DADA YAKE DARUMISTA........................... HII SHULE ILIKUWA NA MAPONJORO WENGI.
 
Mzee alikuwa muajiria KAHAWA HAUSE PALE....................... HENCE ALIONA UJIKO KUNIPELEKA MAWENZI.

ANYWAY, NAFURAHI LEO NILISOMA TOWN.

WAHINDI KINA DARUMESH............. TUMEPIGA NAO NA DADA YAKE DARUMISTA........................... HII SHULE ILIKUWA NA MAPONJORO WENGI.
kweli aisee maana hata cc tuliwaonea wivu sana waliokuwa wanasoma town!!!! kisa wanapanda gari kila siku!!! duh enz zile ajab sana
 
Kinyauli Primary School..Ipo Rombo Kilimanjaro
 
Nilisoma shule ya msingi Sunzula 'B'
Toka 1996-2002
Nilikuwa nashika namba 1 Tokaji darasa la kwanza hadi nne, kwa mihura yote la Tano mhura wa (I) nikawa wa pili nilikia sana mpaka babu yangu akanibembeleza na kuku kuchi kama Zawadi akaniambia nikazane na mhura uliofuata nikashika namba 1 hadi kumakiza darasa la VII-2002.

Sent using Jamii Forums mobile app
Namba moja darasani au kipa wa shule?
 
Mtoni Primary school A.K.a kwa mmama marry... WATOTO WA M
WICHUI HAJJI
 
Back
Top Bottom