Laury
JF-Expert Member
- Jul 11, 2015
- 1,272
- 1,510
Nimegonga shule 3 tofauti...Bunge primary school tulikuwa tukipata tu unyoya wa Tausi tunaringishiana na kuweka katikat ya daftari, Nikaja Kimanga PS nikamalizia Muungano PS, hapa tulienda Mikumi basi Nyani wakavamia hostel ya mademu ghafla jion jion hv, Madem wakakimbilia kwny hostel zetu...kilichofuatia daah...hahaaaa