Taja jina la shule ya msingi uliyosoma enzi hizoo

Mie sitataja shule ila kama kuna aliyefanya mtihani wa "MSUPILA" mwaka 1971 ajitokeze!
 
ikuti primary school iko mbeya eneo la ikuti jirani na chuo cha MUST au jirani na inyala
 
Le g-great!! Colonnel Bangalla!! Mukuu ya muyi kubhwa ya Leopordville!
 
Songambele singida iramba, Sabasaba singida manispaa, mseto geita
 
Takwimu za hao unaowita marafiki zipo shule ambayo kila mmoja amepitia. Acha huku kwenye ID na majina fake.

Vinginevyo umeingia kwenye chumba cha mtihani na majibu ukiwa hujui maswali yakoje na sasa unatafuta maswali.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…