mgunga pori
JF-Expert Member
- Jul 23, 2016
- 4,092
- 4,896
Mnzi mmoja primary
Upanga primary
Way back 1996
Upanga primary
Way back 1996
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Swadakta! Jitambulishe ww kwanza!![]()
Wewe hapo ni yupi kwanza?tuanzie hapo kisha mengine yataendelea.
IST![]()
Itaje shule ya msingi ambayo wewe umesoma na mkoa iliopo unaweza kumpata rafiki yako humu mlie somanae
Le g-great!! Colonnel Bangalla!! Mukuu ya muyi kubhwa ya Leopordville!Nimesoma Kolomije Primary,nikaenda Seco Misungwi nikapiga zero. Nikaenda Mwanza kurudia wapiii,nikanunua jina la Paul kujiunga na Chuo,kisha huyoooo MuccoBs Moshi na ma-disco na masap ya kufikia tu
Nikazama kwenye chama kujipenyeza penyeza mara RC. Mimi ni nani?
Ah wewe? Masikia madukani kuna lami siku hizi mpaka kule MissionMbirani sikonge