mimi pia
mtwango ehIdetero primary school
mwaka gani mkuuIdetero primary school ! nimewah kuwa no 11 darasa la 3 niliugua sana pumu kwa miez 5 nyumbani! lakini miaka yoote nilikua namba 1/2! standard seven tulifaulu mimi na kaka mmoja anaitwa Fred! nilikua naongoza kiwilaya ! asante Mwalimu NDELWA!
Yapmtwango eh
Way back 90'smwaka gani mkuu
mimi pengine mwanao maana nimemaliza 2008Way back 90's
[emoji23][emoji23][emoji23]Lipumburu PS. Mwl Nanchetta. Hakuna aliyefaulu ST7. Nikaingia UPE, nastafu mwakani..
Kubali au kataa wewe ni Mkazi wa MTWARA.Lipumburu PS. Mwl Nanchetta. Hakuna aliyefaulu ST7. Nikaingia UPE, nastafu mwakani..