kid can kill
New Member
- Jul 17, 2017
- 3
- 1
[emoji23][emoji28][emoji23][emoji28]Naona w wanafunguka tu Mkuu
Ngoja na mm nikataje nyingne
Siku hizi mtu yeyote ni mhalifu inategemea tu ni Nani anakuita mhalifu.Maana waweza tenda jambo jema lakini according to somebody likatasifriwa ni uhalifuUnahofia utafkiri we ni muhalifu
mchana toch ,usiku magogo tufanyaje?
Hilo la kumwagioia darasa, daaahh limelifanya sana aiseeeNaanza!
Nilisoma Mfinga Primary school Mwanga-Kilimanjaro.
Naukumbuka sana Mchakamchaka na kumwagilia darasa maji Asubuhi ili kuindoa vumbi.
Sent using Jamii Forums mobile app
Utanipata wewe hapo?Kwaiyo unajiona wewe hujulikani?
Hiyo email yako tu tunaweza tukakupata popote acha ujinga
mchana toch ,usiku magogo tufanyaje?
[emoji3] [emoji3] [emoji3] [emoji111]Utanipata wewe hapo?
UtafitiKujua mtu aliposoma inasaidia nini?
Njoo ukutane na masela wa gusa unase uone kama hatujaku sukumia topeNakuja kinyerezi naleta posa dogo
mchana toch ,usiku magogo tufanyaje?
Natania tu mkuu tafadhali sanaKijana naona unashika nyeti za mshua tutakushughulikia
mchana toch ,usiku magogo tufanyaje?