Kachukue basi unipe hata mimi eti
In exchange nitachukua figo lako [emoji23][emoji16][emoji16]
Siku nikikutana na wenye shida nayo kweli kuliko binadamu wa kawaida nitabadili maamuzi kuifuata kwa ajili yaoHahahaha figo yangu ya nini wakati hiyo hela umesema hauitaki sasa si bora uichukue tu unipe mimi mwenye shida nayo
Siku nikikutana na wenye shida nayo kweli kuliko binadamu wa kawaida nitabadili maamuzi kuifuata kwa ajili yao
Nyie wote humu ni ma boss include you hamna shida hiyo [emoji16][emoji16][emoji3]
😂😂😂😂😂😂😂mkuu umetisha aseeh*kwenye hayo suguWanasema kwamba hata uwe tajiri vipi huwezi kukosa deni. Lazima kutakuwa na mtu, kampuni/ benki inayokudai.
Wengine wanafika mbali zaidi na kusema kama mtu unaogopa kukopa na kudaiwa, basi huwezi kuwa na mafanikio.
Je, wewe hapo kwa sasa unadaiwa nini? Kama ni pesa, ni kiasi gani?
Binafsi hapa nilipo nipo na madeni haya:
-Tala=45,000
-Tigo =36,000
-Airtel =37,000
-Branch=6,000
-Nadaiwa bili ya maji 9,200, hii leo nitailipa.
-Nadaiwa na jamaa 35,000.
-Nadaiwa hela ya posa milioni 1 na laki 3, kati ya milioni 1 na laki 5, nilitoa laki 2 tu.
Hayo ndiyo madeni yangu hayo ya juu ukitoa matatu ya mwisho, yameshakuwa sugu sasa.
Cc Zero iq
we jamaa uko kama mimi yaani kumdai mtu naona kama ukatili flani? hapa kuna bwege namdai 500k,hii hela ni malipo yangu kwa kazi flani nkapitishia kwenye A/C yake namdai kimanati sana (nna shida ya hela sana ila akinambia hana nakua mpole)Mimi bora nidaiwe kuliko kudai.. naogopa kudai sijui kwann, imagije nishawahi kumkimbia mtu ninayemdai..
Unaweza jua ni chai hii but ndio hali halisi yangu..Very Shy kwenye kuomba
Ulitakiwa unavyomaliza kazi anakupa chako la sivyo ni kurudisha maendeleo yako nyuma.we jamaa uko kama mimi yaani kumdai mtu naona kama ukatili flani? hapa kuna bwege namdai 500k,hii hela ni malipo yangu kwa kazi flani nkapitishia kwenye A/C yake namdai kimanati sana (nna shida ya hela sana ila akinambia hana nakua mpole)
sema siku nyingine huwa nadai kweli kweli hadi huwezi amini.
aseeh ani asante kwa kunifurahisha asee maana umeamua kuachana ka siredi za kula uzazi[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
Hii bangi naona ni ingizo jipya hapa mjini inalimwa wapi mkuu? [emoji848]Mpawa 20000
Branch 52000
Tala 30000
Jamaa mmoja 250000
Mama mwenyenyumba 600000
Classmate 300000
Harus 100000
Mchepuko 150000
Jirani 30000
Mimi mwenyewe najidai kiasi cha 100000
Hujambo,je unajua, kutolipa deni lako la B R A N C H ni Uhalifu wa kimtandao?, Wengi wameshapata matatizo kwa sababu hiyo,Tunakupa muda mchache uwe umeshalipa, Kumbuka Namba yako ya simu na kitambulisho chako zina taarifa zako zote zitatuwezesha kukufikia.LIPA DENI SASAWanasema kwamba hata uwe tajiri vipi huwezi kukosa deni. Lazima kutakuwa na mtu, kampuni/ benki inayokudai.
Wengine wanafika mbali zaidi na kusema kama mtu unaogopa kukopa na kudaiwa, basi huwezi kuwa na mafanikio.
Je, wewe hapo kwa sasa unadaiwa nini? Kama ni pesa, ni kiasi gani?
Binafsi hapa nilipo nipo na madeni haya:
-Tala=45,000
-Tigo =36,000
-Airtel =37,000
-Branch=6,000
-Nadaiwa bili ya maji 9,200, hii leo nitailipa.
-Nadaiwa na jamaa 35,000.
-Nadaiwa hela ya posa milioni 1 na laki 3, kati ya milioni 1 na laki 5, nilitoa laki 2 tu.
Hayo ndiyo madeni yangu hayo ya juu ukitoa matatu ya mwisho, yameshakuwa sugu sasa.
Cc Zero iq
Tigo : 180,000
Airtel : 420,000
hawa eatel ntawalipa tu siku maana sina namna hela hata iingie bahati mbaya wanailamba,ila tigo sitegemei kwakweli maaana hata tigo pesa iwe na 500,000 hawakati wala kuigusa hela yako na wanakudai.
Eatel kuna siku ntafunga macho paaaaap "ila ndio wasubiri nijazwe upako"
Duh!Mimi bora nidaiwe kuliko kudai.. naogopa kudai sijui kwann, imagije nishawahi kumkimbia mtu ninayemdai..
Unaweza jua ni chai hii but ndio hali halisi yangu..Very Shy kwenye kuomba