mjingamimi
JF-Expert Member
- Aug 3, 2015
- 42,209
- 51,004
Hata kumjua simjui.
Na namba zake nilipoteza kwenye simu niliibiwa.
Kuna wakati uwa nawaza siku akitokea akataka cement zake na nondo itakuwajeee.
nikiona namba mpya uwa nashtuka sanaa maana nahisi ni yeye.
Na namba zake nilipoteza kwenye simu niliibiwa.
Kuna wakati uwa nawaza siku akitokea akataka cement zake na nondo itakuwajeee.
nikiona namba mpya uwa nashtuka sanaa maana nahisi ni yeye.
Huwa unamuona around? Ukute mtu hata kashakufa [emoji23][emoji23] halafu we unawaaaza.