ndege JOHN
JF-Expert Member
- Aug 5, 2015
- 21,643
- 51,642
Kila mtu Ana NDOTO zake lakini sijui Ni kwasababu muda mdogo au tatizo tunakosa utayari mpaka tunashindwa kuyatimiza tunayotaka lakini kiuhalisia mengi yapo ndani ya uwezo wetu.
Tusaidiane jamani maana kila mtu Ana uzoefu wake msaidie Mwenzako mwenye uhitaji mkubwa wa jambo lake asaidie kwa mawazo.
Hata biblia inakiri tunayotaka kuyafanya hatuyafanyi Ila tunajikuta tunafanya tusiyoyapenda.
Mimi binafsi ninayotamani kuyafanya lakini sifanikiwi ni yafuatayo
1.Kukimbia kila siku asubuhi yaani ukiwa mtu wa mazoezi asubuhi ukala tizi hata kila siku umeamka saa 11 alfajiri ukakimbia mpaka saa 12 Ukaoga utaona maajabu kwani muda huo unakimbia nguvu flani za ajabu Sana zitakua zikikuingia maana utakuwa unaongea na MUNGU wako barabarani unapita hamna watu
2.Kuiachilia simu yangu yaani nishakuwa addicted Na simu ndo maana hata nimekuwa mvivu siwezi Tena kujifulia nguo na kusafisha chumba naishia kumlipa dobi hata kwa nguo Kama mashuka mawili tu.uzembe wa hali ya juu nikiamka tu Cha Kwanza WhatsApp message Kisha Facebook halafu namalizia na JF mchana kutwa na hivi kazi yangu yenyewe Ni kukaa tu dukani mida yote Niko na simu hii tabia nataka kuacha lakini Kuna ugumu.
3.Mengineyo nadhani nimefanikiwa kuyaacha ukianzia na pombe,xnxx na xvideos, bet pawa bado nipo nipo si unajua Tena hela huwa Ni za kwetu wote.
4.Natamani niwe na swali Mara tano kwa siku Kama waislamu.japokuwa Mimi ni mkristo ila nahisi Kuna maono NILIPATA kutoka nafsini mwangu kuwa dini yenye mazoea mazuri yenye manufaa ni uislam ile kutawaza na kuswali Mara tano utapata uwezo wa juu nataka nijifunze kuswali sema tatizo linakuja nahisi muda utakuwa haupo nashindwa.
5.Lingine napenda kusafiri yaani kwa niwe tu na camera na vifaa Kama simu,mapower bank,yaani niwe na hela za kula tu bila kufanya kazi let's say mfano million 10.kazi yangu me inakuwa Ni kupita vijiji ,wilaya,mikoa niwage nalala tu lodge leo nipo Arusha kesho nakuja dar natembea tembea cocobeach, masaki, mwenge, kariakoo keshokutwa nipo dodoma uswahilini kesho nipo nachingwea nafika tu stand nakula kuku natafuta mwenyeji itapendeza ikiwa Ni demu halafu tunatembea naye ananitembeza mitaa yote nifanye rout kwa tanzania yote ndo nachotamani lakini hakitokei
6.Lingine niwe nakula vyakula vile vile kila siku ugali kabeji au na matembere, maziwa, matikimaji, matango, Nchoroko, chapati yaani hivo tu ndo niwe napikiwa kila siku ila haiwezekani kibongobongo.
7.Mwisho natamani kuoa ila nashindwa sidumu na wachumba.kwa sababu unajua me kiukweli nipo kwenye chama la wanaume wabahili sasa nataka mwanamke ambaye haombi hela yaani akiwa mke wangu ye atuliage tu hela me nitakuwa nampa maana matatizo yote ya maisha nitakuwa nayajua ila ndo hivo mwenye vigezo hivo simpati kwa hiyo nashindwa kuoa.
Zamu yako kutiririka mwenye kunisaidia anisaidie napoelekea Ni pabaya au kawaida tu?
Tusaidiane jamani maana kila mtu Ana uzoefu wake msaidie Mwenzako mwenye uhitaji mkubwa wa jambo lake asaidie kwa mawazo.
Hata biblia inakiri tunayotaka kuyafanya hatuyafanyi Ila tunajikuta tunafanya tusiyoyapenda.
Mimi binafsi ninayotamani kuyafanya lakini sifanikiwi ni yafuatayo
1.Kukimbia kila siku asubuhi yaani ukiwa mtu wa mazoezi asubuhi ukala tizi hata kila siku umeamka saa 11 alfajiri ukakimbia mpaka saa 12 Ukaoga utaona maajabu kwani muda huo unakimbia nguvu flani za ajabu Sana zitakua zikikuingia maana utakuwa unaongea na MUNGU wako barabarani unapita hamna watu
2.Kuiachilia simu yangu yaani nishakuwa addicted Na simu ndo maana hata nimekuwa mvivu siwezi Tena kujifulia nguo na kusafisha chumba naishia kumlipa dobi hata kwa nguo Kama mashuka mawili tu.uzembe wa hali ya juu nikiamka tu Cha Kwanza WhatsApp message Kisha Facebook halafu namalizia na JF mchana kutwa na hivi kazi yangu yenyewe Ni kukaa tu dukani mida yote Niko na simu hii tabia nataka kuacha lakini Kuna ugumu.
3.Mengineyo nadhani nimefanikiwa kuyaacha ukianzia na pombe,xnxx na xvideos, bet pawa bado nipo nipo si unajua Tena hela huwa Ni za kwetu wote.
4.Natamani niwe na swali Mara tano kwa siku Kama waislamu.japokuwa Mimi ni mkristo ila nahisi Kuna maono NILIPATA kutoka nafsini mwangu kuwa dini yenye mazoea mazuri yenye manufaa ni uislam ile kutawaza na kuswali Mara tano utapata uwezo wa juu nataka nijifunze kuswali sema tatizo linakuja nahisi muda utakuwa haupo nashindwa.
5.Lingine napenda kusafiri yaani kwa niwe tu na camera na vifaa Kama simu,mapower bank,yaani niwe na hela za kula tu bila kufanya kazi let's say mfano million 10.kazi yangu me inakuwa Ni kupita vijiji ,wilaya,mikoa niwage nalala tu lodge leo nipo Arusha kesho nakuja dar natembea tembea cocobeach, masaki, mwenge, kariakoo keshokutwa nipo dodoma uswahilini kesho nipo nachingwea nafika tu stand nakula kuku natafuta mwenyeji itapendeza ikiwa Ni demu halafu tunatembea naye ananitembeza mitaa yote nifanye rout kwa tanzania yote ndo nachotamani lakini hakitokei
6.Lingine niwe nakula vyakula vile vile kila siku ugali kabeji au na matembere, maziwa, matikimaji, matango, Nchoroko, chapati yaani hivo tu ndo niwe napikiwa kila siku ila haiwezekani kibongobongo.
7.Mwisho natamani kuoa ila nashindwa sidumu na wachumba.kwa sababu unajua me kiukweli nipo kwenye chama la wanaume wabahili sasa nataka mwanamke ambaye haombi hela yaani akiwa mke wangu ye atuliage tu hela me nitakuwa nampa maana matatizo yote ya maisha nitakuwa nayajua ila ndo hivo mwenye vigezo hivo simpati kwa hiyo nashindwa kuoa.
Zamu yako kutiririka mwenye kunisaidia anisaidie napoelekea Ni pabaya au kawaida tu?