Mleta mada anaongelea kuhusu 'asilia', ingawwaje hajafafanua zaidi, na kwako wewe hizo ni asilia, kwangu yaweza isiwe.Kebichi, carrots, njegele, hoho na mchicha.
mkuu hii ya mwisho ukitoa "n" mbona inatishaaa[emoji23][emoji23][emoji23]
Umeona eeh,[emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]
Naona wameamua kujitungia tu maneno yao ili kusudi tukiuliza ndiyo nini wasingizie eti sisi ni wa kishua hatujui hivyo tukae pembeni
Mwanzoni title haikua hivyo,Mleta mada anaongelea kuhusu 'asilia', ingawwaje hajafafanua zaidi, na kwako wewe hizo ni asilia, kwangu yaweza isiwe.
Leo nimeangukia pua kabisaaa bestDahhhh....
Unaniangusha mwamba...[emoji23][emoji23][emoji23]
Ungumbwisye ipwisya [emoji1][emoji1][emoji1][emoji16]Nsusa, ipwisa
basi ni ngumu kujua hiyo mboga(mbwembwe)haa,ndo vitu gani hivo mkuu!!
[emoji1][emoji1]naloliUngumbwisye ipwisya [emoji1][emoji1][emoji1]
kinehe ulimhola ghuku??[emoji23]