Taja mboga za asili zisizopungua 3 zinazopatikana kwenu

Taja mboga za asili zisizopungua 3 zinazopatikana kwenu

Nani amewahi kutumia hizi;
*Mswalu
*maharage/kunde zilizo
barazwa.
*mchunga
*msapagulo
*kihembe
*limbe (mkono gwa mbuli)
*unsolele (vi uyoga flani hivi vidogovidogo vyeupe,vinaota mara nyingi kwenye vichuguu)
*sungwi
umetisha ngosha[emoji13][emoji13][emoji13]
 
Back
Top Bottom