Behaviourist
JF-Expert Member
- Apr 8, 2016
- 39,926
- 95,626
Duh!!Mkuu kumbe unatokea nyumbani kwetu?!😳😳😳Mnakulaga hiyo mmekua sungura?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Duh!!Mkuu kumbe unatokea nyumbani kwetu?!😳😳😳Mnakulaga hiyo mmekua sungura?
Mama d ata ulanzi itakua ushapiga Sana na myakaya
Hiyo Nsasa ni mboga gani?ni mboga hizo mkuu[emoji23][emoji23][emoji23] inaoneka wew ni mboga saba[emoji23][emoji23]
Pituku ni nini?Dah umenikumbusha mbali sana wakunyumbi
Nimekulaga sana Pitiku
Me nauliza na wewe unaniambia mambo ya kusiniHa ha ha pitiku...utakuwa wa kusini wewe
Hahaha kuuuumbe!Mboga Saba ugali kitenesi.pitiku Ni majani ya maboga
Pituku ni nini?
Kule kwetu bombambili tunaiita pitikumama D,huo sisi tunaita msusa!!!
Issue ni lugha tu kumbe. Msijidai MNA mboga zenu kumbe ni za kimataifaMboga Saba ugali kitenesi.pitiku Ni majani ya maboga
Thank youuuuuuuu,Issue ni lugha tu kumbe. Msijidai MNA mboga zenu kumbe ni za kimataifa
Hahaha delux bado ipo?Halafu ni ulanzi OG. Fresh kabisa yaani unajipimia na kupigia mlemle shambani🍹
Ukitoka hapo unaenda kumalizia mambo buhemba au delux
Mchunga ulivyo mchungu ,sungura mwenyewe chakula chake icho lakini anatokwa na vidonda mdomoniNani amewahi kutumia hizi;
*Mswalu
*maharage/kunde zilizo
barazwa...
Nikuletee leo uyapike, tupige, tushushie na togwaHahaha kuuuumbe!
Sasa si mtaje kwa lugha ya kiswahili jamani,
Majani ya maboga yatiwe karanga kwa wali na rost la nyama pembeni, [emoji39]
Sijajua ila buhemba ipoooHahaha delux bado ipo?