StudentTeacher
JF-Expert Member
- Jan 30, 2019
- 4,153
- 4,301
Wanasema ligi ya England mzee Ferguson alikuwa anawatembezea sana mlungula marefa wa wakati huo
Ungechelewa kidogo tu...
Nakataa kwa sababu factor kubwa anaitwa timu ya taifa three lions
Swali la kujiuliza wanafungika kiurahisi? Au umeshasikia wameshindwa kuqualify World Cup?Sasa kwani hiyo timu ya taifa ina wachezaji wazuri wa kiungo? Si ndio kina lingaaad na wenziwe rashfod humohumo?
Swali la kujiuliza wanafungika kiurahisi? Au umeshasikia wameshindwa kuqualify World Cup?
Swali la kujiuliza wanafungika kiurahisi? Au umeshasikia wameshindwa kuqualify World Cup?
Hapo umekosea willian ni bonge la mchezajiWillian
Alishaondoka barcelona yupo zake ligi ya italyBoateng Barcelona.
Wachezaji wote wa sasa...[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Kunywa pepsi babaWachezaji wote wa Man united.
Umemaliza kazi, manchester y sasa. Uzi ufungwe.Wachezaji wote wa Man united.
Sasa england kuna timu pale? Hawajaahi ifunga timu kùbwa hivi karibuni...labda frindlies.Nakataa kwa sababu factor kubwa anaitwa timu ya taifa three lions
MMmM🤔🤔🤔Boateng Barcelona.