Taja Mchezaji Mbovu Anayecheza Timu Kubwa

Taja Mchezaji Mbovu Anayecheza Timu Kubwa

Sasa england kuna timu pale? Hawajaahi ifunga timu kùbwa hivi karibuni...labda frindlies.
Ipo ndugu yangu acha dharau wanaojua mpira hawailetei dharau. We unadhani ni timu gani duniani ikiambiwa inatakiwa kucheza na England itachekelea kwamba imepata kibonde?
 
Sasa kama hawafungiki kirahisi means wametwaa kombe,kombe gani,? Wameshacheza fainali ya kombe loolote hivi karibuni na kuvaa medali hata ya mshindi wa pili?
Basi yaishe wapenzi wa Brazil ni wabishi
 
Hapo Ally mtoni ni saizi yake mkuu
Yanga nao ni sawa na Lipuli tu alikotoka.
Ujaona yanga wanamsajili hadi Ali Ali.

Ni aibu kubwa kwa benchi la ufundi kuwasajili wachezaji wa kawaida kabisa na wenye makosa lukuki uwanjani kama akina Ali Ali!

Kuna umuhimu kwa Yanga walau kuwa na mwalimu mzawa msaidizi wa timu ili amsaidie ushauri Mwinyi Zahera kwenye baadhi ya madudu yake anayoyafanya.
 
[QUOTuko sahihiE="FORTALEZA, post: 33079660, member: 407237"]
Mimi naanza na Jesse Lingard yupo Man Utd
[/QUOTE] uko sahihi mkuu, mimi nicolaus pepe wa arsenal
 
Back
Top Bottom