Taja mchezaji unayemkubali nje ya timu kubwa za EPL

Taja mchezaji unayemkubali nje ya timu kubwa za EPL

Greatest Of All Time

JF-Expert Member
Joined
Jan 1, 2017
Posts
23,620
Reaction score
52,790
Msimu huu kuna wachezaji wamekiwasha hasa, viwango vyao vimetakata mno japo hawachezi timu kubwa kama Liverpool, Man City, Man Utd, Arsenal, Spurs na Chelsea.

Leo tuwataje wachezaji tunaowakubali ambao hawachezi hivyo vilabu hapo juu.

Mimi naanza na Ruben Neves wa Wolves jamaa ni bonge la mido, ana uwiano mzuri katika ukabaji na kushambulia.

Karibu tuendelee.
 
IMG_2867.JPG
 
Back
Top Bottom