Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wanakimbia threads zaoSiwezi kupita hapa bila kutaja jina la MUHASIBU, hahaha [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787].
MUHASIBU anaongoza jahazi wakaribu yake ni mr ID NYINGI genta hahaha [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] mzee WA ndimi mbili na naishia hapa.
Muhasibu amekuwa mtu maarufu humu jfHatimaye Mhasibu ameanzishiwa uzi special kabisa kwa ajili yake!!
Kolo mnahasiraTaja members wenye tabiri za soka zenye gundu
[emoji115]Hapo juu ni kichwa cha uzi wako uliounzisha, cha kushangaza umeishia kupandisha nyuzi za watu na kujichekesha kama kidawa..
Kuna tofauti kubwa sana kati ya ushabiki na utabiri..
Wewe mwenyewe hapo pamoja na kuwa ni shabiki lia lia wa bwawani nina uhakika kwenye mkeka wako huwezi mtabiria kuwa YangaSC atamfunga CR Belouzdad na badala yake utabiri wako utakuwa YangaSC 1-CR Belouzdad 2.
Ila kiushabiki utabeti hapa jukwaani Yanga atashinda.
[emoji23][emoji23]akaogee maji ya bahariNia yako utugombanishe na OKW BOBAN SUNZU japo hatutamtaja sehemu
Au ni Mbu Mbu mbuHawa sio wanasoka bali mashabiki lialia kwa hiyo huwa hawaangalii uhalisia wanaongozwa na mihemko,kuna huyo msukuma sunzu ni debe tupu
Sent from my HUAWEI MLA-AL10 using JamiiForums mobile app