Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
waliweza kwenye parade haswaa kwenye nyuma geukaWa mwisho huwa wa kwanza.. Hapa wahenga walichemka..
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hayo mabango katandike kitandani ulalie na mkeo.............. Hii mpya
Dawa ya moto in moto. Hii si kweli, dawa ya moto ni majimzigo mzito mpe mnyamwez... Nafikir zigo kama msamb..wanda
Bahkresa (azam) atashuka hapo alipo na kuja kuwa omba omba mitaani.. Hahawaliweza kwenye parade haswaa kwenye nyuma geuka
Nimecheka aise
Huu msemo humanishi mbuzi mbuzi tu aluyekwenye hali yoyote,Kila mbuzi hula kwa urefu wa kamba yake...Mimi nakataa, atakula kwa huruma ya mchungaji...
"mtoto sio riziki" imemaanisha mtoto hasara aitha mtoto amefariki katika harakati za mama kujifungua.Kisicho riziki,hakiliki.
Je wewe sio riziki au hauliki?
Ukisema wewe,sio riziki,mhhh,ni hatari!!!!kumbe mtoto sio riziki wewe!!!
Ukisema hauliki,maana wewe sio riziki(shoga).Ukisema unalika,hii nayo ni hatar!!!Unalika??
sawa lakini bila huruma ya mchungaji huyo mbuzi atakaa sanaHuu msemo humanishi mbuzi mbuzi tu aluyekwenye hali yoyote,
Anaongelewa mbuzi aliyefungwa kamba shingoni kisha kamba ikafungwa kwenye kisiki, sasa hapo mbuzi atakula majani kwenye ukubwa wa eneo kuendana na urefu wa kamba aliyofungiwa nayo kama ni refu eneo kubwa atalila, sio mbuzi tu hata ng'ombe au punda
Sasa unaweza kukaa meters 10 ukatupa fimbo ikamuua nyoka?
Huu msemo unaakisi biashara ya utumwa, wanyamwezi kutoka tabora walikua wakibebeshwa pembe za ndovu na waarabu kutoka huko mpaka bagamoyo/zanzibar kwa mguu.mzigo mzito mpe mnyamwez... Nafikir zigo kama msamb..wanda
Sasa mchungaji si anamfunga mbuzi wake penye majani.sawa lakini bila huruma ya mchungaji huyo mbuzi atakaa sana