Mr pianoman
JF-Expert Member
- May 22, 2019
- 2,595
- 6,264
Vipi mkuu wakurya walikufanyaje uko kwao ulipo enda maana wale jamaa mapuuza ndo hawataki kabisa.Siku ukifika mara,kigoma na lindi utajuta sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Vipi mkuu wakurya walikufanyaje uko kwao ulipo enda maana wale jamaa mapuuza ndo hawataki kabisa.Siku ukifika mara,kigoma na lindi utajuta sana
[emoji3][emoji3] daah bahati mbaya mimi ni mweusi tiiKaribu sana mwanza hutojuta kufika usukumani tutakupokea kwa ukarmu sana karibu sana kama wewe ni mweupe tutakupenda zaid
Siwezi kuielezeaKwaio unaposikia rock City unapata picha gani?
Pemba nini yaan ndo hujafika au ndo huna mpango wa kufika
Arusha wakazi wengi ni masikin sanaKama huna hela (£,€,$,¥) huwezi kuipenda Arusha na hata ukienda Chuga kama huna Masimbi utauona huo Mkoa umekuonea sana.... Hakuna Mkoa Tanzania nao jutia kuutembelea, kwanza kila wilaya ina ladha yake.... Kama huna Ngawira kila utakapo enda lazma utapachukie tu na kujenga chuki napo.....
Nikipata safari ya kwenda kutembea, naanzia mjini namalizia na vijijini kama huo mkoa una vivutio vya kitalii namalizia na hapo narudi zangu kichwa kikiwa kimejaa vitu vipya...
Ila mimi nataka kuona jiji tu sio kwamba nakuja kutafuta sokoHahahaaaa huna soko kabisa