Taja mkoa ambao hujawahi kufika na Wala huna mpango kabisa wa kuitembelea

ndege JOHN

JF-Expert Member
Joined
Aug 5, 2015
Posts
21,643
Reaction score
51,642
Tanzania tuna mikoa mingi na kila mkoa una tamaduni zake na historia yake ambayo inavutia.kuna watu ambao tunapenda kusafiri kutalii mikoa hiyo ili kujionea yanayosemwa kuhusu mkoa huo.lakini ipo mikoa ambayo huna habari nayo kabisa yaani huoni hata ikikushawishi aidha kikazi au biashara au hata kuifikia.mimi mkoa wa Lindi sitaki hata kujua Kama nitaenda wa pili tabora
 
Lindi aiseee....!! Siwezi kwenda ntalishwa samaki Nchangaa buree vilee napenda nyamaa hasa mishakaki
 
Lindi aiseee....!! Siwezi kwenda ntalishwa samaki Nchangaa buree vilee napenda nyamaa hasa mishakaki
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…