kibombonya
JF-Expert Member
- May 9, 2018
- 326
- 564
Kigoma Jee..kama Tabora hupapendiTanzania tuna mikoa mingi na kila mkoa una tamaduni zake na historia yake ambayo inavutia.kuna watu ambao tunapenda kusafiri kutalii mikoa hiyo ili kujionea yanayosemwa kuhusu mkoa huo.lakini ipo mikoa ambayo huna habari nayo kabisa yaani huoni hata ikikushawishi aidha kikazi au biashara au hata kuifikia.mimi mkoa wa Lindi sitaki hata kujua Kama nitaenda wa pili tabora
Mh Iringa!!!! ni moja ya mikoa mizuri sana, hasa wilaya ya Mufindi, napenda sana ile mitimiti ya pines yaani kama ulaya ulaya vileIringa
Wanaume wa Dar wameshindwa kumpa mimba wema sepetuWanaume wa Dar utawajua tu. Wanaokamuliwa Juice ya miwa na kupaka muhindi ndimu na pilipili
Nilipita njia ya mbugani kupitia liyamba liyamfipa na pia kuzunguka mbuga kupitia Maji Moto kwa Pinda kule...Mpanda sio Mkoa ni Katavi,,,,,,,,,,,ulifika mara ya mwisho lini? Na ulipita njia ya wapi ambayo barabara ni mbaya????
[emoji15] [emoji15]Mi nipo Dodoma ila sitak hata kuijua dodoma, nataman nifumbe macho siku zote
ni heri upite kwenye maji na Kilimanjaro marine kuliko hizo zinazopita huko juu!Tanzania nimepita mikoa yote, mkoa ambao sitarajii kwenda ni mkoa wa Zanzibar, sipendi kupita kwenye maji. Hela bombardier sina
vumbi jekunduKwa nini hampataki kigoma jamani?mweeh [emoji30][emoji30][emoji23]
karibu unitembelee mimiSumbawanga
sina wa kumtembelea huko ningefika tu