Taja mkoa ambao hujawahi kufika na Wala huna mpango kabisa wa kuitembelea

Maisha ya watanzania na waafrika wengi kwa ujumla yanafanana.
 
Nchii hii sijafika mikoa minne tu,simiyu,songwe,rukwa na kigoma,,,,,,,,,sina mpango wa kufika simiyu kwakua imenikaa kushoto
 
basi sikukuu ya noel uje nitakuchinjia na mbuzi,
mualiko ngoja niuandae kabisa.
uwiiii nimekumbu thupu ya mbusi...nialike tu jaman

You don't need to write an invitation letter...wewe sema tu hapa mie nakuja
 
ni heri upite kwenye maji na Kilimanjaro marine kuliko hizo zinazopita huko juu!
ukija kufika Zanzibar utakuja kuEdit hii comment yako.
hahahahahhahaah mie naogopa nikifika Zenji nitakuja tafuta Mbusi katoliki niikose

so nimeamua kutoenda kabisa
 
hahahahahhahaah mie naogopa nikifika Zenji nitakuja tafuta Mbusi katoliki niikose

so nimeamua kutoenda kabisa
hiyo mbusi katoliki ipo sana bwana ila sio mtaani kama huko bara, kuna hotel ukienda unapata safi kabisa.

jaribu kwenda siku moja...hautajutia.
 
uwiiii nimekumbu thupu ya mbusi...nialike tu jaman

You don't need to write an invitation letter...wewe sema tu hapa mie nakuja
noel ikikaribia nitasema usijali, thupu ya kichwa au mkia?
 
Mpanda sio Mkoa ni Katavi,,,,,,,,,,,ulifika mara ya mwisho lini? Na ulipita njia ya wapi ambayo barabara ni mbaya????
Mkuu nakuja jumapili nichukue Mashamba hapo kakese, au igaka, naomba ikiwezekana tuonane tupeane mawazo tofauti kuhusu kilimo cha mpunga huko Kama ni mdau Wa kilimo lakini.
 
Natamani nifike mikoa yote, na hapo bado mikoa ya mbeya, ruvuma, iringa Lindi, mtwara, tanga na rukwa mingine yote nishatia mguu.
 
Unakosea sana mkuu Tabora pako Bomba sana nakukaribisha tembelea siku moja
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…