[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Nikisikia mtu anakaa Kigoma huwa namuona kama Behewa.
Kigoma sitamani hata kupajua.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Tanzania nimepita mikoa yote, mkoa ambao sitarajii kwenda ni mkoa wa Zanzibar, sipendi kupita kwenye maji. Hela bombardier sina
Sasa kama wanaume wa Dar mnakimbia Panya road, vitoto hata harufu ya maziwa haijatoka vinawalaza saa 9 mchana... Utanishawishi vipi nije darHivi unaishije Tanzania kisha unasema wewe ni Mtanzania wakati hujafika Da'slaam?
Kumbe unasikia tuuHuko si ndio kuna fursa kwa sasa na serikali ishahamia huko. Kutakuwa kumechangamka sana
napenda mkia zaidinoel ikikaribia nitasema usijali, thupu ya kichwa au mkia?
hahahahahah nilihofia kuikosa bhana ... kwa ukiri wako huu nitajaribu kwenda huko hii december nije nitoe mrejeshohiyo mbusi katoliki ipo sana bwana ila sio mtaani kama huko bara, kuna hotel ukienda unapata safi kabisa.
jaribu kwenda siku moja...hautajutia.
Rukwa raha tupuOnly Rukwa..!
Mkuu me ni mdau wa kilimo sana tu,,,,,,,,,,ila sipo huko kwa sasa nipo mkoa mwingine nasaka maisha hahahaaah.Mkuu nakuja jumapili nichukue Mashamba hapo kakese, au igaka, naomba ikiwezekana tuonane tupeane mawazo tofauti kuhusu kilimo cha mpunga huko Kama ni mdau Wa kilimo lakini.
Sasa hivi kupo vizuri, njia ambayo sio nzuri ni ya kupita Tabora tu. Ila ya kupita Lyamba Lya Mfipa ipo vizuri sana, yote ina lami isipokuwa mbugani tu.Nilipita njia ya mbugani kupitia liyamba liyamfipa na pia kuzunguka mbuga kupitia Maji Moto kwa Pinda kule...
Mara ya mwisho nilienda 2012 lami ya mpanda starike/stalike ndio inaanza kujengwa.... Nihabarishe maendeleo ya sasa mkuu...
Hahaha sawasawaMkuu me ni mdau wa kilimo sana tu,,,,,,,,,,ila sipo huko kwa sasa nipo mkoa mwingine nasaka maisha hahahaaah.
Thanks mkuu, I will be back nikipata wasaa.. Ila mbugani kama kawa lazima gari ipigwe dawa kukimbiza mbung'o...Sasa hivi kupo vizuri, njia ambayo sio nzuri ni ya kupita Tabora tu. Ila ya kupita Lyamba Lya Mfipa ipo vizuri sana, yote ina lami isipokuwa mbugani tu.
Rukwa,Ruvuma na Mara.Rukwa,Ruvuma na Musoma
Rukwa,Kigoma na Kagera.Sumbawanga, Kigoma na Bukoba
hahahaah ndio mbugani mbung'o wengi bado.Thanks mkuu, I will be back nikipata wasaa.. Ila mbugani kama kawa lazima gari ipigwe dawa kukimbiza mbung'o...