luche1
Senior Member
- Jan 18, 2017
- 144
- 107
trueNimefika mikoa yote kasoro kigoma...
Mkoa ambao sitaki kurudi ni mpanda the only reason ni mbali mno na barabara ni mbaya....
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
trueNimefika mikoa yote kasoro kigoma...
Mkoa ambao sitaki kurudi ni mpanda the only reason ni mbali mno na barabara ni mbaya....
Mkuu barabara mbaya kule kuanzia tabora kwenda mpanda mjini kisha kuelekea mpimbwe huko vumbi tupu na mashimo ovyo na kuanzia kibaoni kwao na pinda lami kiasi kisha vumbiMpanda sio Mkoa ni Katavi,,,,,,,,,,,ulifika mara ya mwisho lini? Na ulipita njia ya wapi ambayo barabara ni mbaya????
Una akili sana wewe, siku nafika sumbawanga sikuamini nilichokikuta mji mzuri kuliko nilivyokuwa nikiufikiliaMimi natamani nifike kila Mkoa..nikichojifunza ni kuwa kuna maeneo huwa tunasikia ni kubaya ila ukifika unakuta ni sawaa tuu na ulikotoka au tofauti ni ndogo tuu na kuna watu wanaishi maisha bora kuliko hata nilikotoka..mfano Sumbawanga Rukwa au Mpanda Katavi,
Hii ya kupita sitarike, kibaoni,usevya,mbede hadi maji moto kuna lami mkuuSasa hivi kupo vizuri, njia ambayo sio nzuri ni ya kupita Tabora tu. Ila ya kupita Lyamba Lya Mfipa ipo vizuri sana, yote ina lami isipokuwa mbugani tu.
Hiyo nitaIPITA NEXT MONTHHii ya kupita sitarike, kibaoni,usevya,mbede hadi maji moto kuna lami mkuu
Nilihitaji kufahamu hata Mimi mwezi ujao nitapita hiyo barabara kuelekea mpimbweHiyo nitaIPITA NEXT MONTH