Taja raha za kuwa single ili wenye ndoa wajifunze

Taja raha za kuwa single ili wenye ndoa wajifunze

Hii ni sawa mtu kuwaambia wezake, Darasa la awali wataje njia/mbinu za kujifunza kusoma na kuhesabu. Ili wale wanajua kusoma na kuhesabu,wajifunze kutoka kwao.
Invalid comparison....Kuna watu ambao Ni maprofessional kwenye usingle....mf. tuna watoto kabisa
 
Kama wewe unajua shida iko wapi si unamfundisha kusonga ugali!
By nature hayo ni majukumu yake lazima ajue kupika ugali.....labda mm kazi yangu itakuwa ni kumuelekeza kuwa....nahitaji ugali mgumuu[emoji23][emoji23]
 
Hakunaga kitu cha ‘single and happy’[emoji38][emoji38][emoji38]tafuta wa kukupenda we sio jini buanaaa
Mkuu...wewe unauzoefu gan hapo.....single / married
 
Salaaam magreat thinkers

Leo tukiwa tunaendelea kusononeka baada ya shule kufunguliwa nimewaletea baadhi za faida za kuwa single ( bila kuoa)

1. Tuliosingle tunajiamini, watu waliosingle wanajiamini kila idara kutokana na uzoefu wa kukwepa mitego kadha wa kadha kutoka kwa wadada mfano.....hizi kelele za tozo huwezi kuzisikia kwasisi tulio single

2: Ni wazee wa kuspend, kumwagilia mioyo: ni ngumu mtu aliyesingle kumkuta anajibana kimatumizi always tuna ile kauli ya tumia pesa ikuzoee......lazima tumwagilie moyo

3. Waliosingle ni handsome..that's y ni wagumu kudate ....ili kuepuka kusambaza species zenye mionekano kama yao

Ongezea faida walizo nazo watu waliosingle( only positive )
..............View attachment 2346407
Hakuna anayemfuga mwenzake
 
Subiria ufike uzee ndo utajua kama kuwa single ni dili au sio dili
 
Tumpe somo .....raha tunazozipata huku[emoji23][emoji23]
Ah wee bwana usingle raha yake uhuru ila bwana asikwambie mtu upweke nomaaaa unajikuta unaishi but kuna kitu unamiss tuu. Tule mbususu kwa kweli ila kuna that emotional side acha kabisa bado una feel upo empty
 
Ah wee bwana usingle raha yake uhuru ila bwana asikwambie mtu upweke nomaaaa unajikuta unaishi but kuna kitu unamiss tuu. Tule mbususu kwa kweli ila kuna that emotional side acha kabisa bado una feel upo empty
Umesahau na ile tabia yetu sisi single Boyz ya kuchukia ghafla bila kujielewa

+

Kukuna p*mb* kila alfajiri unavyoamka[emoji23]
 
Back
Top Bottom