Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Invalid comparison....Kuna watu ambao Ni maprofessional kwenye usingle....mf. tuna watoto kabisaHii ni sawa mtu kuwaambia wezake, Darasa la awali wataje njia/mbinu za kujifunza kusoma na kuhesabu. Ili wale wanajua kusoma na kuhesabu,wajifunze kutoka kwao.
Hakuna anayemfuga mwenzakeSalaaam magreat thinkers
Leo tukiwa tunaendelea kusononeka baada ya shule kufunguliwa nimewaletea baadhi za faida za kuwa single ( bila kuoa)
1. Tuliosingle tunajiamini, watu waliosingle wanajiamini kila idara kutokana na uzoefu wa kukwepa mitego kadha wa kadha kutoka kwa wadada mfano.....hizi kelele za tozo huwezi kuzisikia kwasisi tulio single
2: Ni wazee wa kuspend, kumwagilia mioyo: ni ngumu mtu aliyesingle kumkuta anajibana kimatumizi always tuna ile kauli ya tumia pesa ikuzoee......lazima tumwagilie moyo
3. Waliosingle ni handsome..that's y ni wagumu kudate ....ili kuepuka kusambaza species zenye mionekano kama yao
Ongezea faida walizo nazo watu waliosingle( only positive )
..............View attachment 2346407
Wee sio muumini wa self service 🤣🤣🤣🤣Hakuna raha kuwa single bana [emoji23]
Ukweli mtupu. Tatizo ndalama nazo zinapiga chenga.Hakuna mtu apendaye kuwa single
Ah wee bwana usingle raha yake uhuru ila bwana asikwambie mtu upweke nomaaaa unajikuta unaishi but kuna kitu unamiss tuu. Tule mbususu kwa kweli ila kuna that emotional side acha kabisa bado una feel upo emptyTumpe somo .....raha tunazozipata huku[emoji23][emoji23]
🤦🏻WeeWee sio muumini wa self service 🤣🤣🤣🤣
Kuopelekewa moto raha bwana.🤦🏻Wee
Kuopelekewa moto raha bwana.
Au kuitwa bby, mara umeshikwa kiuno mara bby kakuletea zawadi
Umesahau na ile tabia yetu sisi single Boyz ya kuchukia ghafla bila kujielewaAh wee bwana usingle raha yake uhuru ila bwana asikwambie mtu upweke nomaaaa unajikuta unaishi but kuna kitu unamiss tuu. Tule mbususu kwa kweli ila kuna that emotional side acha kabisa bado una feel upo empty