ferg
JF-Expert Member
- Mar 8, 2015
- 1,327
- 1,800
Ni series mbili tofauti zenye maudhui yanayoshabihiana. UjasusiKwa hiyo na hii 24 legacy ni nyingine tofauti na hiyo 24 hrs au ni swries moja yenye majina mengi?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni series mbili tofauti zenye maudhui yanayoshabihiana. UjasusiKwa hiyo na hii 24 legacy ni nyingine tofauti na hiyo 24 hrs au ni swries moja yenye majina mengi?
24 ndio jina lake na LOGO yake kwangu mm ni bonge la picha hewezi kumbuka vingine hata msosi unaweza sahau kula niliipenda kuliko 24 LegacyAisee hii series mpaka page hii imepigiwa promo kinoma na sijajua kama 24 ndio jina lake kamili au wamefupisha.
Maana nimeingia web nimekutana na 24 legacy, 24 hours nimebaki nimeduwaa sijui ipi kati ya hizo imepewa high rates hapa
Basi leo mgoja nianze nayo maana wengi mmeipa rates za juu sana24 ndio jina lake na LOGO yake kwangu mm ni bonge la picha hewezi kumbuka vingine hata msosi unaweza sahau kula niliipenda kuliko 24 Legacy
View attachment 1488038 View attachment 1488039 View attachment 1488045 View attachment 1488046
google hapa
jack bauer kiefer sutherland 24 - Google Search
Hapa mnaongelea series ipi wakuu mmeniacha njia pandaNapenda sana character wa namna hii... Wanaitwa watu wenye silver tongue
kama Raymond Redington kwenye Blacklist
Hata kwenye maisha ya uhalisia wapo sana hawa watu
Jumong sijawahi kuielewa mwanzo mpaka mwisho wanaruka ruka tu na mashuka yao
muendelezo Wa 24HRSKwa hiyo na hii 24 legacy ni nyingine tofauti na hiyo 24 hrs au ni swries moja yenye majina mengi?
Nimeona trailer leo hii series inaonekana kali sana.DA VINCI'S DEMON
SUPERNATURAL
ni kali sana mkuu nashauri usiaxhe kabisa kuiangalia.Nimeona trailer leo hii series inaonekana kali sana.
Mimi baada ya jamaa kufa nilishindwa kuendelea mpaka kesho s5 niliishusha lakin nikaangalia ep1 nikaacha.Mimi sikuamini kabisa kama Brody ndio anakufa mazima nilitegemea awepo mpaka mwisho wa series, Dah.
Nashangaa siichoki homeland kuirudia upya nipo season ya 2, nairudia.
Yayayayayayaaa angalia vzr ile mambo woooi[emoji23][emoji23]1. 24 Hrs
2. Nikita
3. Chuck
Nilifuatilia rates za IMDB na comments kama hizi kuhusu best series nikaona Breaking Bad imekuwa rated juu sana, si nikaidownload yote bana. Daaa yani sjawahi kuelewa haswa ni nini kilisababisha ile muvi ipo rated high hivyo, yani sjaona sababu kabisaaa. Kuna movie kama designates survivor ya ukwel sana ila haiifikii hiyo breaking bad jinsi wamei rate juu. Sijawai ielewa kabisa hiyo breaking bad, najarib kila mara kujilazimisha naangalia epsod moja moja labda ntaona jipya mpaka nimemamiliza season 1 sjaona cha maana.
Kweli watu tonatofautiana sana.
Star ni yule yule jack bower,?muendelezo Wa 24HRS
Ni series nzuri sana sema kuweka mambo ya ushoga ndo wameharibu kila kitu3.How to get away with a Murder
Hivi alikufa season ya ngap mkuu, mm niliichk mpk season 2Mimi baada ya jamaa kufa nilishindwa kuendelea mpaka kesho s5 niliishusha lakin nikaangalia ep1 nikaacha.
alafu kaipa ya mwishoHakutakuwa na haitatokea series tamu dunianai kama 24