Taja sifa za wanaume wa hapa JamiiForums

Mkuu Jana nilikua na stress za Kodi ya nyumba. Malipo ya mwaka au miezi sita yatatugombanisha na watu wasio na hatia. [emoji23] [emoji23]
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]una matatizo wewe
 
Mkuu wewe mganga nini maana sio kwa kunijulia huko khaa
 
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]poyeeee
Chanteeee,au wewe mke wangu nini sema tu ndio sijui kama upo huku halafu wewe unajua na jina ninalolitumia huku maana sio kwa kunijulia huko lol.
 
Chanteeee,au wewe mke wangu nini sema tu ndio sijui kama upo huku halafu wewe unajua na jina ninalolitumia huku maana sio kwa kunijulia huko lol.
Upo huru kuchukua simu yanguuu uangalie Kama kuna app ya Jf
 
*Walagai wa mapenzi na matapeli*

Ebu tupe ufafanuzi hapo ushalagaiwa na wangapi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…