Taja sifa za wanaume wa hapa JamiiForums


.....sifa ya mwanaume wa jF ni mashine (nyoka) hasa wa MMU
 
Umemkimbia mfuga kuku Baada Ya kumjua ukweli wa kipato chake kinapotoka. Hivi huoni na wewe mwanamke mwenye mapenzi ya uongo?
Mkuu umechanganya sio mm niliyekimbia kuolewa na mfuga kuku
 
Nimetoka kula ndizi za kuungwa sasa nataka nishushie na tunda, naweza kula ndizi mbivu kama tunda langu la kushushia?
 
Sio kweli kuwa wote wanamilki magari mimi sina hata baiskeli tu utafiti wako unakasoro kubwa kubwa tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…