Taja sifa za wanaume wa hapa JamiiForums

MI Sina tabia hizo zote, Mimi napenda uwe ktk mahusiano ila we hujui tu.
 
Mbona mm sina hizo au mm bado mvulana sio mwanaume?
 
Mkiambiwa ukweli mnajua ni uongo na mkiambiwa uongo ndo mnaona ni ukweli!! kwa kifupi hamueleweki
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…