Taja sifa za wanaume wa hapa JamiiForums

Hebu kagua pochi vizuri bhana!!! Si anajua wahenga walisema jungu kuu halikosi ukoko.
[emoji23] [emoji23] lol kuna tishu tu na ufunguo wa stoo nnayolala
 
Reactions: BAK
[emoji23] [emoji23] lol kuna tishu tu na ufunguo wa stoo nnayolala

Hahaha unalala store bibi? sasa unatofautianaje na panya!

Si pensheni uliopata ukajengee nyumba iliyobaki ukanikopea utabarikiwa sana
 
Sizani kama wote ni waongo Kwa uliyosema!Bali n baadhi tuh!stop generalized. Stupidity!
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]eti funguo ya stoo unayolala [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]na hiyo tissue paper ni ya nini?
Haya nakutumia vijisenti [emoji6][emoji6][emoji6]

[emoji23] [emoji23] lol kuna tishu tu na ufunguo wa stoo nnayolala
 
Hahaaaa. Mdogo wangu umekuja kivingine leo.

Ila umesahau hili
- walio wengi hawajawahi kutana na mdada asiyenuka papuchi
- walio wengi kwenye mahusiano hakuna asiye na mwanamke asiyepiga mizinga.
- walio wengi wanadharau single mothers wakati waowao ndio visababishi.
- walio wengi wana ndoa zao ila wakiwa huku wanajifanya ni masingle. Teh teh.

Yaani tabu tupu.
 
Full uongo

Wengine makapuku gari tunatolea wapi?
 
Na mimi naandaa uzzi wa papuchi za wanawake wa jf maana nyingine ziko kama kukumanga
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]Kama umeshawapitia tegemewa kula block muda sio mrefu
 
Hahaha yaani nimetoka kusoma uzi wa Ontario kule inteligence nikajiuliza kam kuna machine ya kuphotocopy nyumba mimi ningeomba machine ya kuphotocopy papuchi. Tena ile nzuri unaifotoa mara nyingi ukibadilisha rangi, mav.zi na utamu
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
 
Duh hapa kweli nimechanganya kumbe yule mdada anaejiita sexless hahaha
Naona dish lako LA kichwa liliyumba badala ya kusoma ITV limesoma Lemutuz [emoji342] [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…