Taja sifa za wateja wako zinazofurahisha

Taja sifa za wateja wako zinazofurahisha

Mteja wa bei gani hii unamtajia
Anasema ngoja nizunguke nitarudi
Hawa huwa wanaenda jumla[emoji848]
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
mara nyingi huwa nafanya hivi, mnisamehe bure
 
Kwenye biashara kubwakubwa za connection kuna wale wanaotaka cha juu (commission) wengine wanataka commission kubwa usipokuwa makini unapata hasara anakula faida yako
 
Kuna wateja ukiwaandikia bei yoyote hawajawahi kubisha. Wao huiitaji jumla tu walipie.

Wateja wengi vijana wenye hela hawapendezi sana. Wengi huvaa kawaida. Ukiona ameng'aa sana jua hamna hela.

Mabodaboda wakitumwa dukani, wao ni kulipia uwe umempiga bei au la!

Kuuzia wanawake wenye kipato cha chini huchosha sana kwani hupenda kudadisi kila bidhaa. Watauliza bei ya vitu kwa muda mrefu.

Kuna wateja wanazijua bei za soko zima hadi kero. Hawa huwapigi bei.
Mimi wateja wangu wengi ni wasukuma,unaongea biashara na mtu mmoja siku ya kuja kuinunua anakuja na wenzake wanne ambao wote wanamsindikiza aisee omba Mungu Kati ya hao wanne asitokee hata mmoja kutoa mawazo hasi juu ya bidhaa yako.
Ikitokea tu mmoja kasema tofauti biashara hufanyi nao[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Kuna wale wateja wanaotaka discount (punguzo la bei) utasikia anakwambia nina/tuna mradi mkubwa kwa hiyo nitakuja sana hapa kwako kununua bidhaa nyingi.

Utafanya discount kwa bidhaa chache anazochukua siku hiyo ukijipa moyo atakuwa mteja wangu. Baada ya hapo hautamuona tena.

Ukimpigia simu utasikia anakwambia kuna pesa wanaisubiria itoke
 
Kuna wale wateja wanaotaka discount (punguzo la bei) utasikia anakwambia nina/tuna mradi mkubwa kwa hiyo nitakuja sana hapa kwako kununua bidhaa nyingi.

Utafanya discount kwa bidhaa chache anazochukua siku hiyo ukijipa moyo atakuwa mteja wangu. Baada ya hapo hautamuona tena.

Ukimpigia simu utasikia kuna pesa wanaisubiria itoke
Ma experience mazuri sana haya
 
Kwenye Mikopo sasa, ukisikia mteja unamkopesha kitu au fedha na kumwambia utanilipa kila week/mwexi kiasi fulani na utamaliza kwa miez 2 let say.

Ukisikia anaropoka hili deni nalilipa chini ya huo muda, andika tuu hivo ila hili ndan ya week w mbili hizi nalicover.

My dear kama ulikuwa hujampa fedha au kitu gairi mara moja! Hiyo ni kauli ya wakopaji sugu na matapeli.
 
Kwenye Mikopo sasa, ukisikia mteja unamkopesha kitu au fedha na kumwambia utanilipa kila week/mwexi kiasi fulani na utamaliza kwa miez 2 let say.

Ukisikia anaropoka hili deni nalilipa chini ya huo muda, andika tuu hivo ila hili ndan ya week w mbili hizi nalicover.

My dear kama ulikuwa hujampa fedha au kitu gairi mara moja! Hiyo ni kauli ya wakopaji sugu na matapeli.
Huu ni ukweli kabisa
 
Kuna wateja wanaulizia habari ya bidhaa hadi unahisi wanakutroll.
 
Hapa utafikiri sisi ndo tunapandisha Bei kumbe mlolongo ni mrefu
Hivi huwa hamshangai supermarket nk watu hawaombi punguzo? Ni kwasababu huku kwingine mshawazoesha wateja hivyo. Kwahiyo mvumilie tu.
 
Ili kupunguza masuala ya kuulizwa ulizwa bei wangekua wanabandika tu bei kwenye bidhaa husika. Supermarkets wanabandika bei mteja anaenda akifahamu bei ya kitu anachonunua
Hivi huwa hamshangai supermarket nk watu hawaombi punguzo? Ni kwasababu huku kwingine mshawazoesha wateja hivyo. Kwahiyo mvumilie tu.
 
Ili kupunguza masuala ya kuulizwa ulizwa bei wangekua wanabandika tu bei kwenye bidhaa husika. Supermarkets wanabandika bei mteja anaenda akifahamu bei ya kitu anachonunua
Yeah! Waweke bei fixed kama akina Frank knows, ukifika unaijua bei kabisa hivyo huna haja ya kulilia punguzo. Sasa wao kitu cha elfu 20 mtu anaanzia 50 huko ili muanze kuzungushana.
 
Back
Top Bottom