Taja sifa za watoto wa kiume waliolelewa na single mother

Taja sifa za watoto wa kiume waliolelewa na single mother

Malezi ya mtoto hayaangalii wewe ni single maza au single faza pia kila mtoto ana id na iq yake

Kila binadamu ana sifa na tabia yake(unique)HATUFANANI!
 
Hapo vip!

Kiukweli kuna madhara makubwa mtoto wa kiume kulelewa na mama tu.
Madhara.
1.Hana msimamo kama mwanaume.
2.Anaamini ushauri wa mwanamke kuliko wa mwanaume.
3.Sio mtu wa kuaminika kama mwanaume mwenye kusimama kama mwanaume(anayeza akawa msaliti juu ya jambo fulani kirahisi)
4.Hawezi kuwa baba bora kwenye familia,anatawaliwa na mwanamke katika ndoa..hana kauli kwasababu mama yake alimtawala kwenye kila kitu.
5.sio wajasiri wala hodari
Tatizo la Single mother ukilitizama kama ni tatizo la wanawake pekee tunakosea kama jamii. Japo wanawake wanachangamoto zao na mauzi yao, ila kwa siku hizi kuna wana wanzingua sana. Umetia mimba mwanamke anazingua husimsuse mwanao, find the way ya kumjenga mwanao awe baba bora, Japo probability yake ni ndogo ila kwa chance hiyo hiyo timiza wajibu wako.

Sometimes kuzalisha wanawake tofauti tofauti halafu huna time ya kulea sio ujanja.Timiza wajibu wako ujenge kizazi kilicho bora cha kesho,kwani single parent haijawahi kuwa na output nzuri, japo wapo wachache wanao bahatika kuwa na tabia nzuri, ila wengi saikolojikali wanakuwa hawapo vizuri.
 
Hakuna lenye ukweli hata moja kwenye kile ambacho umeandika hapo.afu watanzania wengi mno wamelelewa na single mama kwa utafiti wangu mdogo niliofanya
 
Hapo vip!

Kiukweli kuna madhara makubwa mtoto wa kiume kulelewa na mama tu.
Madhara.
1.Hana msimamo kama mwanaume.
2.Anaamini ushauri wa mwanamke kuliko wa mwanaume.
3.Sio mtu wa kuaminika kama mwanaume mwenye kusimama kama mwanaume(anaweza akawa msaliti juu ya jambo fulani kirahisi)
4.Hawezi kuwa baba bora kwenye familia,anatawaliwa na mwanamke katika ndoa..hana kauli kwasababu mama yake alimtawala kwenye kila kitu.
5.sio wajasiri wala hodari
Mbona wewe hauna hizi sifa?
 
Hapo vip!

Kiukweli kuna madhara makubwa mtoto wa kiume kulelewa na mama tu.
Madhara.
1.Hana msimamo kama mwanaume.
2.Anaamini ushauri wa mwanamke kuliko wa mwanaume.
3.Sio mtu wa kuaminika kama mwanaume mwenye kusimama kama mwanaume(anaweza akawa msaliti juu ya jambo fulani kirahisi)
4.Hawezi kuwa baba bora kwenye familia,anatawaliwa na mwanamke katika ndoa..hana kauli kwasababu mama yake alimtawala kwenye kila kitu.
5.sio wajasiri wala hodari

Kati ya wewe na Diamond ni nani aliyelegea?
 
Hapo vip!

Kiukweli kuna madhara makubwa mtoto wa kiume kulelewa na mama tu.
Madhara.
1.Hana msimamo kama mwanaume.
2.Anaamini ushauri wa mwanamke kuliko wa mwanaume.
3.Sio mtu wa kuaminika kama mwanaume mwenye kusimama kama mwanaume(anaweza akawa msaliti juu ya jambo fulani kirahisi)
4.Hawezi kuwa baba bora kwenye familia,anatawaliwa na mwanamke katika ndoa..hana kauli kwasababu mama yake alimtawala kwenye kila kitu.
5.sio wajasiri wala hodari
Sio wote kaka kumbuka Shaka zulu alikuwaje
 
Kati ya wewe na Diamond ni nani aliyelegea?
Yule diamond anajielewa ukimuangalia vizuri?muulize ameenda kuchukua nini kwa P.Dady...ndio mambo hayo tuyazungumzia.

Diamond hawezi kusimama kiume..ashukuru mziki umemtoa...hauoni ametawaliwa na mama yake,hana maamuzi yeyote mama yake ndio kila kitu mpaka ameshindwa kuishi na mwanamke
Yule diamondi hawezi kusikiliza ushauri wa wanaume wenzake zaidi ya ushauri wa mamake
 
wana tabia mtambuka, ila tusiwalaumu kwani hawakupenda iwe hivyo, bali wamejikuta tu ni watoto wa singo mama.
 
Back
Top Bottom