Taja simulizi 3 bora ulizosoma JamiiForums 2023

1)Shetani rudisha akili zetu na mke wangu by singano JR lkn ananyataa kuitoa .
2)Mimi na Mimi by Elton Tonny jamaa anatujali sana kila siku anashusha mzigoo.
 
Reactions: ram
Hivi hii huwa ni nzuri?nilitaka nianze kushuka nayo ila naona baadhi ya episode zimeondolewa,afu km ina alosto hivi
Wahusika ni wengi ukizubaa lazima utajichanganya....ila walioisoma wanasema iko poa...Mimi nitajaribu kuisoma tena labda nikiwa kijijini kusiko na kelele.
 
Biashara ya uber mwamba INSIDER MAN katisha sana
 
Ila yote kwa yote hakuna msimuliaji mzuri kama Abibu Anga aka The bold huyu jamaa ni hatari akifuatilwa na kina Da Vinci, kuna jamaa mmoja pia alikuwa anajiita Humble African sijui alipotelea wapi, kina Malcom, Analyse, nk.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…