Taja vitu ambavyo havijawahi kumwacha mtu salama katika mapenzi

Dah zinaa imedhihiri ,shetani mbona unatupeleka kasi sana kwenye hii dhambi. Vijana tubadilike kuanzishwa kwa threads kama 3 au 4 zote zikiwa na maudhui ya zinaa si afya kwa ufalme wa Mungu. Baba tunusuru waja wako
 
Dah zinaa imedhihiri ,shetani mbona unatupeleka kasi sana kwenye hii dhambi. Vijana tubadilike kuanzishwa kwa threads kama 3 au 4 zote zikiwa na maudhui ya zinaa si afya kwa ufalme wa Mungu. Baba tunusuru waja wako

Mungu huyo si kaweka vifanyio unadhani ni mapambo eeeeh!!?

Watu wanafanya kisha wanatubu.

Si vitabu, ndiyo vinavyosema hivyo au nakosea!?
 
Dah zinaa imedhihiri ,shetani mbona unatupeleka kasi sana kwenye hii dhambi. Vijana tubadilike kuanzishwa kwa threads kama 3 au 4 zote zikiwa na maudhui ya zinaa si afya kwa ufalme wa Mungu. Baba tunusuru waja wako
Usipange vitu vya kupost,ndiyo maana kuna jukwaa la dini,siasa,mapishi nk,kila jambo linaendana na muktadha wake.Si kila anayepost mapishi ni mtaalam wa mapishi
 
Kula mgahawani wakati home hujaacha hata kiberiti
 
mechi za ugenini
timu kuu kuuza mechi kwa andaglaundi
 
Kumlinganisha mpenzi wako na wapenzi wako wa zamani au na mwanaume/mwanamke mwingine
 
Vita ya kufilisika wakati mwanzo ulikuwa na kauwezo pia penzi haliwezi baki salama.
 
Ukizini kwa pesa utaziniwa bure,ukizini gesti utaziniwa nyumbani mwako ndani
 
Habarini ndugu zangu, tuorodheshe vitu au Sehem ambazo hazijawah mwacha mtu SALAMA.
Mahabusu haijawah mwacha mtu salama Haya twende.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…